Nipo mwanza najiandaa kwenda mbeya na bus la supershem, cha ajabu basi halipo, lipo njiani linakuja kutoka shinyanga lilipo lala, lifike tupande turud mbeya.
Sasa najiuliza hili bus halina service, na ratiba yake iko tofauti na mengine, pia kwanini sumatra iruhusu bus moja kufanya safari kila siku na ni safari ndefu.
Na sio kwamba hawajui wanajua linafanya hivyo lakin mpka ajali itokee ndo wajitokeze.
Jeshi la police pia wapo na wanajua linafanya hivyo lakini mpaka litokee la kutokea