Sukari inatafutwa

Sukari inatafutwa

island

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2013
Posts
1,065
Reaction score
836
Kwa anayeweza kupata zaidi ya 150kg za sukari aje inbox ... Package ya kilo moja moja
 
Island umeshapata hiyo sukari ? Kuna jamaa anayo
 
No mkuu ! Naipata kwa 1800 +vat per kg
Tshs 1,800 + VAT = Tshs 2,124.
Mkuu uko chini sana. Hii ni below hata ile "Bei Elekezi" ya serikali ya Tshs 2,200
 
Tshs 1,800 + VAT = Tshs 2,124.
Mkuu uko chini sana. Hii ni below hata ile "Bei Elekezi" ya serikali ya Tshs 2,200
Hiyo bei elekezi ya 2200 ni kwa ngazi ipi ,,? Manufacturer, whole sale , retail etc

Au ni kwa Nani ? !!

Kuna mtu Leo kaniuzia kwa 2050 vat in na ni legit businessman
 
Kama uko serious Na uko kwenye hii mikoa ya ukanda wa Pwani ninao uwezo wa ku- supply kwa gharama ya mil 2.2 kwa tani moja!
 
Kama uko serious Na uko kwenye hii mikoa ya ukanda wa Pwani ninao uwezo wa ku- supply kwa gharama ya mil 2.2 kwa tani moja!
OK mkuu ! Ikihitajika ntakuchek , kwa sasa ishanunuliwa .

Pa1
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom