Cloudz ya wafu fm ,watairusha kweli hii!
Mh. Sugu anaonyesha ni kwa kiasi gani watu wa mbeya hawakukosea kumpa usukani wa kuongoza jahazi lao. Na hii ni fundisho kwa majimbo ambayo bado yanakumbatia CCM.kwenye kutetea haki hakuna kuogopa!big up CDM
pinda alisema leo ndo tutajua huo mwafaka wa mawaziri wanaotakiwa kujiuzulu. Sasa sijui anasubiri nini kutuambia kama jk kamwambia ni upepo na yeye hajaridhika basi ni vyema ajiuzulu yeye ili amwache yeye na huo upepo utakaopita