Sikuelewa alichokuwa nazungumza. Ilikuwa ni vurugu tu, mara Swiz, mara Katavi, mara Mbeya, mara vipepeo, mara mi Mkatoliki...kuna asiyejua CDM wamejaa wakatoliki???
Sikuelewa alichokuwa nazungumza. Ilikuwa ni vurugu tu, mara Swiz, mara Katavi, mara Mbeya, mara vipepeo, mara mi Mkatoliki...kuna asiyejua CDM wamejaa wakatoliki???
angalia muktadha na kisha kwenye "i" weka "o". it is that simple!Hii ni meseji, kikwete atakuwa ameipata. mkuu sahihisha kwenye red sijaielewa, japo maudhui nimeelewa
Sikuelewa alichokuwa nazungumza. Ilikuwa ni vurugu tu, mara Swiz, mara Katavi, mara Mbeya, mara vipepeo, mara mi Mkatoliki...kuna asiyejua CDM wamejaa wakatoliki???
Yale yale....Tunamsubiri yesu...Kuna siku utaelewa tu usijali. Hata Yesu alipotoka jiji la Jerusalem alipokuwa kwenye mlima aliulilia mji wa Jerusalem kwa kusema ' ewe Jerusalem ni lini utaacha kuwatesa na kuwaua manabii...?' nami nawalilia sana watu kama nyie.
Sikuelewa alichokuwa nazungumza. Ilikuwa ni vurugu tu, mara Swiz, mara Katavi, mara Mbeya, mara vipepeo, mara mi Mkatoliki...kuna asiyejua CDM wamejaa wakatoliki???
ni kweli..na hilo gamba huwezi kuelewa kitu!!!
Kawambia kabsa wajiandae kuwa chama pinzani, lakini chama pinzani makini sio legelege kama magamba.
Kawashukia mawaziri wanaojifariji kuwa huo ni upepo tu unapita, kawaambia wasahau maana tufani inayokuja itang'oa kama sio bati basi ni nyumba yote! message sent kwa mkuu wa kaya pale magogoni, tuone kama ataendelea kutabasamu na pamoja na ufirauni wa mawaziri wake!