Hata mi pia naona yupo makini sana kulinda kula za 2015 mana ujue kwa siasa za leo usipo fanya mandalizi mapema ujue basi kazi unayo ila ukisawazisha mabonde na milima na kufanya njia basi hata kesho unaweza pita bila wasiwasi.jana nimemuona muheshimiwa maeneo y a simike
good work sir....usiishie kubishana na watu wasio na tija kwenye maendeleo yako, just forget what they did to you and keep on focusing your work....mbeya kuna matatizo mengi tu, so kaa nao weka strategies za kupambana na hizo changamoto pamoja na wananchi wako , kwa kufanya hivo wananchi wako wataongeza trust kwako na kazi yako itatambulika na kuweka alama ya utofauti ukilinginisha na ilivokua zamani wakati wa utawala wa ccm.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.