Sugu: CCM sasa hivi hawatawali nchi, inatawaliwa na Dola. Huenda CCM wamenyang'anywa jukumu la kufanya Siasa

Sugu: CCM sasa hivi hawatawali nchi, inatawaliwa na Dola. Huenda CCM wamenyang'anywa jukumu la kufanya Siasa

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Joseph Mbilinyi (Sugu) akiwa kwenye mahojianao na Mwananchi Digital, amesema "CHADEMA siyo chama kikuu cha upinzani, CHADEMA chama kikuu cha Siasa Tanzania kwasababu kingekuwa chama cha upinzani kama kungekuwa na chama tawala lakini CCM sasa hivi hawatawali nchi inatawaliwa na Dola"

Ameongeza kuwa sasa hivi CCM ni kama wamekabidhi au wamenyang'anywa jukumu lao la kufanya siasa.


 
Joseph Mbilinyi (Sugu) akiwa kwenye mahojianao na Mwananchi Digital, amesema "CHADEMA siyo chama kikuu cha upinzani, CHADEMA chama kikuu cha Siasa Tanzania kwasababu kingekuwa chama cha upinzani kama kungekuwa na chama tawala lakini CCM sasa hivi hawatawali nchi inatawaliwa na Dola"

Ameongeza kuwa sasa hivi CCM ni kama wamekabidhi au wamenyang'anywa jukumu lao la kufanya siasa.


Gentleman,
miongoni mwa madhumuni makuu ya kuundwa na kuanzishwa kwa CCM ni pamoja na:-
~kushiriki chaguzi zote,
~ kushinda chaguzi kwa kishindo,
~kukamata dola,
~ kuunda serikali,
~kuongoza nchi,
~kuwatumikia waTanzania na,
~kuwaletea maendeleo endelevu daima na milele.

hii ikimaanisha dola ya Tanzania itaendela kua chini ya CCM mpaka ukamilifu wa dahari.
 
Gentleman,
miongoni mwa madhumuni makuu ya kuundwa na kuanzishwa kwa CCM ni pamoja na:-
~kushiriki chaguzi zote,
~ kushinda chaguzi kwa kishindo,
~kukamata dola,
~ kuunda serikali,
~kuongoza nchi,
~kuwatumikia waTanzania na,
~kuwaletea maendeleo endelevu daima na milele.

hii ikimaanisha dola ya Tanzania itaendela kua chini ya CCM mpaka ukamilifu wa dahari.
Chizi karogwa tena
 
Joseph Mbilinyi (Sugu) akiwa kwenye mahojianao na Mwananchi Digital, amesema "CHADEMA siyo chama kikuu cha upinzani, CHADEMA chama kikuu cha Siasa Tanzania kwasababu kingekuwa chama cha upinzani kama kungekuwa na chama tawala lakini CCM sasa hivi hawatawali nchi inatawaliwa na Dola"

Ameongeza kuwa sasa hivi CCM ni kama wamekabidhi au wamenyang'anywa jukumu lao la kufanya siasa.


Hilo liko wazi kabisa. Hata bila kusemwa na Sugu. Top layers kule polis, tiss na jeshi ndo wanaotawala na kula mema ya inchi
 
Gentleman,
miongoni mwa madhumuni makuu ya kuundwa na kuanzishwa kwa CCM ni pamoja na:-
~kushiriki chaguzi zote,
~ kushinda chaguzi kwa kishindo,
~kukamata dola,
~ kuunda serikali,
~kuongoza nchi,
~kuwatumikia waTanzania na,
~kuwaletea maendeleo endelevu daima na milele.

hii ikimaanisha dola ya Tanzania itaendela kua chini ya CCM mpaka ukamilifu
WEzi wa kura,wauwaji, wafiraji!
Ili wabaki madarakani wapigie ela period!
 
Joseph Mbilinyi (Sugu) akiwa kwenye mahojianao na Mwananchi Digital, amesema "CHADEMA siyo chama kikuu cha upinzani, CHADEMA chama kikuu cha Siasa Tanzania kwasababu kingekuwa chama cha upinzani kama kungekuwa na chama tawala lakini CCM sasa hivi hawatawali nchi inatawaliwa na Dola"

Ameongeza kuwa sasa hivi CCM ni kama wamekabidhi au wamenyang'anywa jukumu lao la kufanya siasa.


Ni kweli kabisa, huwezi ukatawala wakati una njaa. Viongozi wengi wa CCM wana njaa, wanaishi kwa kutegemea Dola. Mfano rahisi ni mkuu wa mkoa, utaona anafanya ziara anafokafoka lakini mwisho wa siku anaomba mafuta na posho kwa RAS. Vivyo hivyo hata kwenye Halmashauri. CCM ni ngumu kuisimamia serikali kwa ufanisi kwa sababu haina uchumi wa kuwapa maisha viongozi wake. Viongozi wa CCM wakilipwa posho vizuri na Dola wanafunga mdomo. Ukiona wanapiga kelele ujue ni njaa
 
Katika vitu ambavyo viliongeza imani ya CHADEMA kwa watu ni kutoshiriki igizo la uchafuzi 2025.
Ukweli huu hata ccm wanaujua, na imewauma ile mbaya maana voters turn out ilidhihirisha kuwa ccm imepuuzwa, na ni udhibitisho kuwa siku zote wapinzani ndio huwa wanajaza wapiga kura, kisha zinaporwa.
 
Sugu kasema ukweli na mheshimiwa makamu pia alisema maneno yanayifanana na hayo. Ukiikosoa serikali utajibuwa na polisi badala ya Chama.
atasema ukweli wapi huyo mamluki aliewafundisha kina heche kubeti hadi wakafilisika gentleman?
 
Ukweli huu hata ccm wanaujua, na imewauma ile mbaya maana voters turn out ilidhihirisha kuwa ccm imepuuzwa, na ni udhibitisho kuwa siku zote wapinzani ndio huwa wanajaza wapiga kura, kisha zinaporwa.
Wanaccm wenyewe wanaujua ukweli pia sababu hata wao hawakuona sababu ya kwenda kupiga maana hakuna waliyekua wanashindana nae wale wote kwenye ballot paper ni project za CCM .

Wapo wanaccm wengi tu pia walioshangaa hiyo hesabu ya kura milioni 32 ilipatikanaje.
 
Ukweli huu hata ccm wanaujua, na imewauma ile mbaya maana voters turn out ilidhihirisha kuwa ccm imepuuzwa, na ni udhibitisho kuwa siku zote wapinzani ndio huwa wanajaza wapiga kura, kisha zinaporwa.
Huwa unapinga nini kuwa wakati wa hayati JPM CCM ilipata ushawishi kupitia hayati na wala sio Chama? Tumia common sense.
 
Huwa unapinga nini kuwa wakati wa hayati JPM CCM ilipata ushawishi kupitia hayati na wala sio Chama? Tumia common sense.
Peleka use33nge mbali, watu kupungua kwenye vituo vya kura ilianza sana wakati wa dhalimu magu, akaanza kupika idadi ya wapiga kura na kura. Ama unadhani ni zamani sana kiasi kwamba tumesahau?
 
Peleka use33nge mbali, watu kupungua kwenye vituo vya kura ilianza sana wakati wa dhalimu magu, akaanza kupika idadi ya wapiga kura na kura. Ama unadhani ni zamani sana kiasi kwamba tumesahau?
Tindo naomba tuheshimiane. Habari za use..nge zinatoka wapi? Wakati wa Magu ipo wazi CCM ilikubalika sababu ya hayati Magu. Lakini sio chama kama chama. We choko acha upuuzi
 
Back
Top Bottom