prof.mutunga
JF-Expert Member
- Apr 10, 2013
- 341
- 60
Endelea kulia tu kwani nini!!!!!!Wakuu mie nina 26yrs natoka na mama flani ambaye ana watoto wakubwa,ila hajawahi kunieleza alipo baba yao cha ajabu siku ya kipaimara mie nlisimama kama baba wa watoto wale yani haoni hata aibu japo kunako 6+6 naenjoy,japo naendeshwa kama mtoto!
Wakuu mie nina 26yrs natoka na mama flani ambaye ana watoto wakubwa,ila hajawahi kunieleza alipo baba yao cha ajabu siku ya kipaimara mie nlisimama kama baba wa watoto wale yani haoni hata aibu japo kunako 6+6 naenjoy,japo naendeshwa kama mtoto!