Subiri tuone tunakoelekea uchaguzi huu

Subiri tuone tunakoelekea uchaguzi huu

Pantosha

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
869
Reaction score
1,282
Hadi tunafikia uchaguzi kuna maneno yatakuwa yamesemwa, mipango kufanyika na tutaona mengi.

Za ndani kabisa wanaosukumwa na utaifa, wana ajenda kali na ngumu.

Mimi nasema, Mungu tupe uzima tushuhudie yote yatakayotokea.
 
Meli ni kubwa sana na ina uzito wa kutosha kuhimili mawimbi ya bahari yoyote ile. Unaowaona wamekaa mbele ni wabeba lawama tu, lakini maamuzi ni ya pamoja ya kitaasisi.

Hujui taasisi inampangia hata muda wa kulala na watu wa kukutana naye? Ukitaka kupima, jaa kwenye mfumo na vikoti vyako vya mitumba na uchungaji miksa ushirikina
 
Hadi tunafikia uchaguzi kuna maneno yatakuwa yamesemwa, mipango kufanyika na tutaona mengi.

Za ndani kabisa wanaosukumwa na utaifa, wana ajenda kali na ngumu.

Mimi nasema, Mungu tupe uzima tushuhudie yote yatakayotokea.
Asante kwa taarifa.
Ukiona watabiri wamekuwa wengi kiasi hiki ni dhahiri uongozi wa nchi hauna tena UMOJA na wanaowaongoza.

Uwepo wao hauna maana tena!
 
Wewe umelewa siku ya sabato?

Unasema uchaguzi utafanyika kwa salama halafu hapo hapo unasema kutakuwa na makovu.... Sasa usalama unaoleta makovu ni usalama gani huo?
Makovu yatakuwa mioyoni na hayo ndio mabaya zaidi

Kimwili tutavuka salama kwa sababu kule Chaumma akina Yeriko hawatathubutu kufanya zile Sarakasi zao🥷 za Ufipa vyombo vinawatazama kwa ukaribu zaidi 😄
 
Hadi tunafikia uchaguzi kuna maneno yatakuwa yamesemwa, mipango kufanyika na tutaona mengi.

Za ndani kabisa wanaosukumwa na utaifa, wana ajenda kali na ngumu.

Mimi nasema, Mungu tupe uzima tushuhudie yote yatakayotokea.
Kwa kweli,Mungu akatende kama alivyokusudia.
 
Meli ni kubwa sana na ina uzito wa kutosha kuhimili mawimbi ya bahari yoyote ile. Unaowaona wamekaa mbele ni wabeba lawama tu, lakini maamuzi ni ya pamoja ya kitaasisi.

Hujui taasisi inampangia hata muda wa kulala na watu wa kukutana naye? Ukitaka kupima, jaa kwenye mfumo na vikoti vyako vya mitumba na uchungaji miksa ushirikina
Amina!
 
Back
Top Bottom