Sub za kipumbavu zimetucost

Sub za kipumbavu zimetucost

Rico redi

Senior Member
Joined
Jul 15, 2023
Posts
163
Reaction score
312
Upo nyumbani una clinical strikers 3 unaamua kuanza bila straika nafasi zinatengenezwa ila umaliziaji unakua changamoto badala atoe maema ambaye input yake ilikua zero uwanjani unatoa mutale na morice halafu unaweka straika Sasa sijui alitegemea nafasi zinatengenezwa na nani????

Ukiangalia leo nafasi za hatari asilimia 90 zimetoka Kwa mutale na morice unawatoa halafu unaweka chasambi ambaye hata mechi za ligi hua haanzi

Kana kwamba haitoshi akatoa naby akaweka ahoua toka lini ahoua akaperfom vizuri kama no 8 maema ambaye ndo kiwango kulikua kibovu nahisi kuliko wote leo kacheza full time .

KOCHA MPUMBAVU SANA IKIWEZEKANA ATUPISHE
 
Upo nyumbani una clinical strikers 3 unaamua kuanza bila straika nafasi zinatengenezwa ila umaliziaji unakua changamoto badala atoe maema ambaye input yake ilikua zero uwanjani unatoa mutale na morice halafu unaweka straika Sasa sijui alitegemea nafasi zinatengenezwa na nani????

Ukiangalia leo nafasi za hatari asilimia 90 zimetoka Kwa mutale na morice unawatoa halafu unaweka chasambi ambaye hata mechi za ligi hua haanzi

Kana kwamba haitoshi akatoa naby akaweka ahoua toka lini ahoua akaperfom vizuri kama no 8 maema ambaye ndo kiwango kulikua kibovu nahisi kuliko wote leo kacheza full time .

KOCHA MPUMBAVU SANA IKIWEZEKANA ATUPISHE
Hizi ni laana za kushindwa kutoa pole kwa wafiwa kwenye maandamano ya kudai haki, kushindwa kuwapmbea majeruhi wapone haraka, kushindwa kulaani vurugu na mauaji yaliyofanyaka.
 
Kamdomoooo!

IMG-20251123-WA0038.jpg
 
Hapo ndipo utaanza kupiga hesabu Fulani akifungwa na mm nishinde, aah muda wote ulikuwa wapi!, USHAMBA mtupu. Simba imefungwa na wala hakuna kelele. Vibe hakuna kabisa, zwiii.
 
Nini kimewakuta tena?
Si tulishakubaliana kuwa tupo busy na D9..
IMEUMAAA MMEAMUA KUCHOMOKA?

SWALI: KATI YA YANGA NA SIMBA NANI YUPO KUNDI GUMU AU JEPESI?
 
Alooo wabongo wanamaneno hatari,ETI SIMBA WALIVYOONA ILE MITATOO WAKAJUA MIFUMO, KAMA MICHAEL SCOFIELD KWENYE PRISON BREAK...HAHAHAHAHAHA
 
Back
Top Bottom