Wana JF nimekuwa nikiona wakandarasi wazalendo tena Wadogo wakipata Sub-contract kwa wachina na wakandarasi wengine hapa Dar na mikoani. Kwa wale Walio ndani wakifanya sasa au wanajua namna ya kupata kandarasi hizo naomba muongozo wa kupata.
Kimsingi, jitahidi kuwa karibu na wakandarasi wakubwa na kampuni yakk ijulikane ina deal na activities zipi.
Mfano mkandarasi mkubwa anaweza kuwa anajenga jengo la ghorofa 3. Wewe ukamwomba ufanye kipengele cha umeme, au plumbing.
Kama una uzoefu na kazi hiyo atakupa bila tatizo.
Atakutambulisha kwa client wake na consultant.
Na katika malipo kuna % ambayo ataichukua kwako kadri ya mkataba mlivyo kubaliana.
Note:
Sub-Contractor ni mkandarasi mdogo.
Client-Mwenye mradi.
Consultant-Mtalaam mshauri wa mradi.
Wana JF nimekuwa nikiona wakandarasi wazalendo tena Wadogo wakipata Sub-contract kwa wachina na wakandarasi wengine hapa Dar na mikoani. Kwa wale Walio ndani wakifanya sasa au wanajua namna ya kupata kandarasi hizo naomba muongozo wa kupata.
Wana JF nimekuwa nikiona wakandarasi wazalendo tena Wadogo wakipata Sub-contract kwa wachina na wakandarasi wengine hapa Dar na mikoani. Kwa wale Walio ndani wakifanya sasa au wanajua namna ya kupata kandarasi hizo naomba muongozo wa kupata.