Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 11,255
- 23,010
Strategy ya kuwaachia wamachinga kufanya biashara kiholela ni mbinu ya kidikteta. Ilikusudiwa kublock njia za maandamano ya wapinzani lkn muhimu zaidi kuwapigia kura watawala.Kama kaawaida kuna ambao wanataka kutumia huu kama mtaji wa kisiasa. Wamachinga walikuwa bad handled before tusiendelee kukosea.
Hakuna Jiji au Mji ambao hauna mipango au utaratibu. Kuwaacha tu wakae au wafanyanye watakavyo si sahihi. Mnaopiga kelele hebu ruhusuni waje waweke nyumbani kwenu hayo mabanda tuone mlivyo na uchungu.
Haiwezekani waweke mabanda hadi kwenye mitaro au barabarani wakiuza kwa kuchuuza bidhaa za watu madukani ambako sasa wanunuaji hawaendi.
Kuna jengo la machinga complex...halina watu....but pia serikali itenge sehemu ambayo mar hing guys watakuwepo. Tukishindwa kujipanga tunajipanga kushindwa.
Wanasiasa wasio na hoja wanataka watumia machinga kama mtaji kwao.mimi hili nakataa....wamachinga waelekezwe au waandaliwe eneo mahsusi ambo watakuwepo. But si kuweka biashara zao popote watakapo.
Kama tunasema wengi ni degree holders bas naamini watakuwa waelewa sana na kuelewa suala la mipango miji lilivyo. Maana hao wana uelewa na wanafahamu au wanaweza kuelekezwa sheria wakazielewa.
View attachment 1961136
Hawa majamaa ni amsha Sana , wanaziba kila sehemu , serikali ndio umetengeneza hili tatizo kuwafanya wananchi wake kuwa wachuuzi
View attachment 1961137
Miji imechafukaaKama kaawaida kuna ambao wanataka kutumia huu kama mtaji wa kisiasa. Wamachinga walikuwa bad handled before tusiendelee kukosea.
Hakuna Jiji au Mji ambao hauna mipango au utaratibu. Kuwaacha tu wakae au wafanyanye watakavyo si sahihi. Mnaopiga kelele hebu ruhusuni waje waweke nyumbani kwenu hayo mabanda tuone mlivyo na uchungu.
Haiwezekani waweke mabanda hadi kwenye mitaro au barabarani wakiuza kwa kuchuuza bidhaa za watu madukani ambako sasa wanunuaji hawaendi.
Kuna jengo la machinga complex...halina watu....but pia serikali itenge sehemu ambayo mar hing guys watakuwepo. Tukishindwa kujipanga tunajipanga kushindwa.
Wanasiasa wasio na hoja wanataka watumia machinga kama mtaji kwao.mimi hili nakataa....wamachinga waelekezwe au waandaliwe eneo mahsusi ambo watakuwepo. But si kuweka biashara zao popote watakapo.
Kama tunasema wengi ni degree holders bas naamini watakuwa waelewa sana na kuelewa suala la mipango miji lilivyo. Maana hao wana uelewa na wanafahamu au wanaweza kuelekezwa sheria wakazielewa.
Siasa hizi....?Comrade Magufuli aliwaambia kuwa wafanye biashara popote pale,wao ndiyo wapiga kura wake,na wao ndiyo wanyonge wa nchi hii
Siasa hizi....?
Maeneo wanayopanga bidhaa zao ni maeneo ambayo kisheria ni ya watembea kwa miguu,halafu ukigonga au ukikanyaga bidhaa zao wanakukwida ili uzinunue?🤔Kila sehemu machinga, ukiikanyaga bidhaa kwa bahati mbaya au kuigusa kwa mguu hautoki hapo mpaka uinunue hiyo bidhaa. Watembea kwa miguu wamekuwa na tahadhari kubwa pembeni ya barabara kuliko tahadhari ya kukabwa na vibaka.!
Kama kariakoo wamezagaa hata pakupita hakuna. Uchafu mtupu.Kama kaawaida kuna ambao wanataka kutumia huu kama mtaji wa kisiasa. Wamachinga walikuwa bad handled before tusiendelee kukosea.
Hakuna Jiji au Mji ambao hauna mipango au utaratibu. Kuwaacha tu wakae au wafanyanye watakavyo si sahihi. Mnaopiga kelele hebu ruhusuni waje waweke nyumbani kwenu hayo mabanda tuone mlivyo na uchungu.
Haiwezekani waweke mabanda hadi kwenye mitaro au barabarani wakiuza kwa kuchuuza bidhaa za watu madukani ambako sasa wanunuaji hawaendi.
Kuna jengo la machinga complex...halina watu....but pia serikali itenge sehemu ambayo mar hing guys watakuwepo. Tukishindwa kujipanga tunajipanga kushindwa.
Wanasiasa wasio na hoja wanataka watumia machinga kama mtaji kwao.mimi hili nakataa....wamachinga waelekezwe au waandaliwe eneo mahsusi ambo watakuwepo. But si kuweka biashara zao popote watakapo.
Kama tunasema wengi ni degree holders bas naamini watakuwa waelewa sana na kuelewa suala la mipango miji lilivyo. Maana hao wana uelewa na wanafahamu au wanaweza kuelekezwa sheria wakazielewa.
Hawa ccm wamekuwa wakiwatumia vibaya hawa machinga kwa manufaa yao.... kwa Dar es Salaam kwa mfano; kila Kata ndani ya kila manispaa iwe na eneo mahsusi llilopangwa kwa utaratibu maalumu kwa ajili ya wamachinga. Very simple! Hawezekani kila mtu akimbilie kwenye lami kuziba barabara kwa kisingizio anafuata wateja!
Kila mwaka maelfu kwa maelfu ya vijana wanaingia kwenye umachinga; bila proper planning hali itakuwaje mijini miaka kadhaa ijayo? Halafu wapo wanaojisifu Dar es Salaam ni miongoni mwa majiji yanayokua kwa kasi Afrika na duniani; kama kukua kwenyewe ndio huku kuvutia vijana kuzagaa mabarabarani, hakuna la kujisifu!
Kwa hawa hawa akina Mwigulu?? mtasubiri sanaMachinga ni dalili za ugonjwa au symptoms lakini ugonjwa ni uchumi ambao hautengenezi ajira za kutosha na ajira zilizopo haziondoi umaskini. Ukitaka machinga wapungue au waishe kabisa, inua uchumi, ongeza bei za mazao ili kilimo kilipe, ongeza ajira za vijana, utaona machinga wanapungua. Mkiwaulumu kwamba wanachafua miji mnawaonea.
Ni mbinu ya kidikiteta ya kuhadaa wananchi kuw aunawapenda huku ukiwanyonya.Strategy ya kuwaachia wamachinga kufanya biashara kiholela ni mbinu ya kidikteta. Ilikusudiwa kublock njia za maandamano ya wapinzani lkn muhimu zaidi kuwapigia kura watawala.
Bidhaa wanazouza nyingi ni imported merchandise kutoka china n.k. lkn pia wafanyabiashara wajanja wamepata mwanya wa kukwepa kodi maana machinga hawatoi risiti.
Long term sustainable solution siyo kuwapanga tu bali kuwajumuisha ktk uzalishaji mali na mazao badala ya uchuuzi wa bidhaa za wachina.
Kwa kweli hali ya miji ya Tanzania na hasa kariakoo na kwingineko ni aibu na dosari kubwa kwa taifa linalothamini usafi wa mzingira, mpangilio/order na usalama wa raia. Its chaotic and and national eye sore.
Hili ni Bomu ambalo CCM wamelitengeza kwa muda mrefu,sera mbovu na kutofuata utawala wa sheria ndiyo sababu kubwa 'uncertainty policies or regime uncertainty' and unclear regulations towards business'sStrategy ya kuwaachia wamachinga kufanya biashara kiholela ni mbinu ya kidikteta. Ilikusudiwa kublock njia za maandamano ya wapinzani lkn muhimu zaidi kuwapigia kura watawala.
Bidhaa wanazouza nyingi ni imported merchandise kutoka china n.k. lkn pia wafanyabiashara wajanja wamepata mwanya wa kukwepa kodi maana machinga hawatoi risiti.
Long term sustainable solution siyo kuwapanga tu bali kuwajumuisha ktk uzalishaji mali na mazao badala ya uchuuzi wa bidhaa za wachina.
Kwa kweli hali ya miji ya Tanzania na hasa kariakoo na kwingineko ni aibu na dosari kubwa kwa taifa linalothamini usafi wa mzingira, mpangilio/order na usalama wa raia. Its chaotic and and national eye sore.