Wadau, heri ya mwaka mpya 2018.
Naomba msaada tutani; - Ni nani hawa waliokuwa kwenye bodi ya TTCl mwaka 2005? Bila shaka Mkapa Benjamin alikuwa rais wakati huo. Lakini hao board members walikuwa ni akina nani hao watanzania, hasahasa huyo mwenyekiti wa hiyo bodi alikuwa ni nani? Naombea tu asije kuwa joka la makengeza tena.