Suala la NSSF: IGP na Waziri Nape kazi imewashinda

HNIC

JF-Expert Member
Sep 6, 2011
1,898
2,197
Tumenyimwa pesa za MCC na zinginezo kwa sababu ya sheria ya CYBER CRIME

Lakini cha ajabu hii sheria imekuwa butu na haifanyiwi kazi kwa sababu ambazo hazieleweki

So far magazeti ya JAMBO LEO, DIRA, MTANZANIA yamekuwa yakiandika habari na kutoa tuhuma mbali mbali dhidi ya NSSF na zaidi dhidi ya aliyekuwa mkurugenzi wa hilo shirika Dr. Ramadhani Dau ambazo kwa mtazamo wangu ni zaidi ya slander na zimejikita kwenye libel.

Ukweli uliopo mpaka sasa ni:

1. Ripoti ya mkaguzi mkuu wa serikali bado haijawa public .

2. Ripoti ya mkaguzi mkuu wa serikali iliopo bado haijapelekwa bungeni kujadiliwa na bunge.

3. Ripoti inayojadiliwa kwenye mitandao kama ya JamiiForums na magazei ni feki.

4. Magazeti na uongozi wa JamiiForums/media hawajauliziza ofisi ya mkaguzi mkuu wa serikali ukweli juu ya hii ripoti.

5. Ripoti ambayo iko mitaani na kwenye mitandao ya jamii ni ripoti ambayo ilikuwa na tuhuma nyingi dhidi ya NSSF lakini siyo ripoti ambayo kapelekewa Rais,

6.Waziri wa habari, Nape Nnauye kukaa kimya maana yake ni nini na wizara yake kukaa kimya kuhusu huu wizi wa nyaraka za siri za serikali.

7. IGP naye kukaa kimya ina maana jeshi la polisi linaridhia na linashindwa kutekeleza hii sheria ya cyber crime au na lenyewe linaridhia huu uvunjaji wa sheria?
 
Tumenyimwa pesa za MCC na zinginezo kwa sababu ya sheria ya CYBER CRIME

Lakini cha ajabu hii sheria imekuwa butu na haifanyiwi kazi kwa sababu ambazo hazieleweki

So far magazeti ya JAMBO LEO, DIRA, MTANZANIA yamekuwa yakiandika habari na kutoa tuhuma mbali mbali dhidi ya NSSF na zaidi dhidi ya aliyekuwa mkurugenzi wa hilo shirika Dr Ramadhani Dau ambazo kwa mtazamo wangu ni zaidi ya slander na zimejikita kwenye libel.

Ukweli uliopoa mpaka sasa ni:

1. RIPOTI YA MKAGUZI MKUU WA SERIKALI BADO HAIJAWA PUBLIC

2. RIPOTI YA MKAGUZI MKUU WA SERIKALI ILIOPO BADO HAIJAPELEKWA BUNGENI KUJADILIWA NA BUNGE

3. RIPOTI INAYOJADILIWA KWENYE MITANDAO KAMA YA JAMIIFORUMS NA MAGAZEI NI FEKI

4. MAGAZETI NA UONGOZI WA JAMIIFORUMS/MEDIA HAWAJAULIZIZA OFISI YA MKAGUZI MKUU WASERIKALI UKWELI JUU YA HII RIPOTI

5. RIPOTI AMBAYO IKO MITAANI NA KWENYE MITANDAO YA JAMII NI RIPOTI AMBAYO ILIKUWA NA TUHUMA NYINGI DHIDI YA NSSF LAKINI SIYO RIPOTI AMBAYO KAPELEKEWA MHESHIMIWA RAIS

6.WAZIRI WA HABARI NAPE MNAUYE KUKAA KIMYA MAANA YAKE NI NINI NA WIZARA YAKE KUKAA KIMYA KUHUSU HUU WIZI WA NYARAKA ZA SIRI ZA SERIKALI

7. IGP NAYE KUKAA KIMYA INA MAANA JESHI LA POLISI LINARIDHIA NA LINASHINDWA KUTEKELEZA HII SHERIA YA CYBER CRIME AU NA LENYEWE LINARIDHIA HUU UVUNJAJI WA SHERIA?
Wewe ni jipu, wanatakiwa kuthibitisha kuwa siyo kweli siyo kuwandama wanaodai haki zao. Wengine tangu mwaka jana hatujapa mafao yetu, tuna hasira haswa.
kwenye makalio sasa sijui tuondoe au tuweke chumvi, magadi na pilipili kichaa ili uoze.
 
Wewe ni jipu, wanatakiwa kuthibitisha kuwa siyo kweli siyo kuwandama wanaodai haki zao. Wengine tangu mwaka jana hatujapa mafao yetu, tuna hasira haswa.
kwenye makalio sasa sijui tuondoe au tuweke chumvi, magadi na pilipili kichaa ili uoze.
unasema haujapata mafao.kwani ulikuwa unafanyakazi wap??taratibu zikoje
 
WAMESHINDWA KAZI REPOTI FEKI NA KUCHAFUANA MITANDAONI NI UKIUKWAJI MKUBWA WA SHERIA YA UHALIFU WA MITANDAONI.
 
Hata mkitunga Sheria kandamizi za kuzuia mtu asiwaguse nyie na familia zenu haitasaidia. Hapa ulitakiwa kupongeza hao waliodukua hizo paper na kuzileta public ili tuone tulivyoibiwa...

Mimi nalia na wale ndugu zake DR Dau wanajenga maghorofa kila siku ya DERM TOWER kumbe ni hela zetu. JPM atazaa na nyie, saizi JPM anazungusha mikono tu mabadiliiiiikkkkoooo toka maisha ya Oysterbay hadi Segerea. Andaeni ndoo za kutosha
 
Tumenyimwa pesa za MCC na zinginezo kwa sababu ya sheria ya CYBER CRIME

Lakini cha ajabu hii sheria imekuwa butu na haifanyiwi kazi kwa sababu ambazo hazieleweki

So far magazeti ya JAMBO LEO, DIRA, MTANZANIA yamekuwa yakiandika habari na kutoa tuhuma mbali mbali dhidi ya NSSF na zaidi dhidi ya aliyekuwa mkurugenzi wa hilo shirika Dr. Ramadhani Dau ambazo kwa mtazamo wangu ni zaidi ya slander na zimejikita kwenye libel.

Ukweli uliopo mpaka sasa ni:

1. Ripoti ya mkaguzi mkuu wa serikali bado haijawa public .

2. Ripoti ya mkaguzi mkuu wa serikali iliopo bado haijapelekwa bungeni kujadiliwa na bunge.

3. Ripoti inayojadiliwa kwenye mitandao kama ya JamiiForums na magazei ni feki.

4. Magazeti na uongozi wa JamiiForums/media hawajauliziza ofisi ya mkaguzi mkuu wa serikali ukweli juu ya hii ripoti.

5. Ripoti ambayo iko mitaani na kwenye mitandao ya jamii ni ripoti ambayo ilikuwa na tuhuma nyingi dhidi ya NSSF lakini siyo ripoti ambayo kapelekewa Rais,

6.Waziri wa habari, Nape Nnauye kukaa kimya maana yake ni nini na wizara yake kukaa kimya kuhusu huu wizi wa nyaraka za siri za serikali.

7. IGP naye kukaa kimya ina maana jeshi la polisi linaridhia na linashindwa kutekeleza hii sheria ya cyber crime au na lenyewe linaridhia huu uvunjaji wa sheria?


Lakini pia ni wewe uliyeleta habari Kuwa MH Waziri Mkuu Na MH. Rais Magufuli wakupigwa changa la macho juu ya Makontena Na Wizi wa mafuta pale bandari!

Je ulileta hapa ushadidi wa madudu yale? Leo umekuwa mtetezi wa majizi uliyoyapiga Vita hadi kumwandikia Rais barua ya wazi?

Ni vigumu sana kumwamini Mtanzania! Nilidhani ungetoa wito kwa watuhumiwa Na shirika kwa ujumla kutoa ufafanuzi, ila WW unapingana kwa kudai nyaraka sio sahihi,! Je za kwako sahihi ziko wapi?
 
Tumenyimwa pesa za MCC na zinginezo kwa sababu ya sheria ya CYBER CRIME

Lakini cha ajabu hii sheria imekuwa butu na haifanyiwi kazi kwa sababu ambazo hazieleweki

So far magazeti ya JAMBO LEO, DIRA, MTANZANIA yamekuwa yakiandika habari na kutoa tuhuma mbali mbali dhidi ya NSSF na zaidi dhidi ya aliyekuwa mkurugenzi wa hilo shirika Dr. Ramadhani Dau ambazo kwa mtazamo wangu ni zaidi ya slander na zimejikita kwenye libel.

Ukweli uliopo mpaka sasa ni:

1. Ripoti ya mkaguzi mkuu wa serikali bado haijawa public .

2. Ripoti ya mkaguzi mkuu wa serikali iliopo bado haijapelekwa bungeni kujadiliwa na bunge.

3. Ripoti inayojadiliwa kwenye mitandao kama ya JamiiForums na magazei ni feki.

4. Magazeti na uongozi wa JamiiForums/media hawajauliziza ofisi ya mkaguzi mkuu wa serikali ukweli juu ya hii ripoti.

5. Ripoti ambayo iko mitaani na kwenye mitandao ya jamii ni ripoti ambayo ilikuwa na tuhuma nyingi dhidi ya NSSF lakini siyo ripoti ambayo kapelekewa Rais,

6.Waziri wa habari, Nape Nnauye kukaa kimya maana yake ni nini na wizara yake kukaa kimya kuhusu huu wizi wa nyaraka za siri za serikali.

7. IGP naye kukaa kimya ina maana jeshi la polisi linaridhia na linashindwa kutekeleza hii sheria ya cyber crime au na lenyewe linaridhia huu uvunjaji wa sheria?
Kwa nini ahojiwe na takukuru!
 
Mimi nalia na wale ndugu zake DR Dau wanajenga maghorofa kila siku ya DERM TOWER kumbe ni hela zetu. JPM atazaa na nyie, saizi JPM anazungusha mikono tu mabadiliiiiikkkkoooo toka maisha ya Oysterbay hadi Segerea.

kinachonikera mimi ni lowasa fisadi kutokupandishwa kizimbani hadi sasa
 
Tumenyimwa pesa za MCC na zinginezo kwa sababu ya sheria ya CYBER CRIME

Lakini cha ajabu hii sheria imekuwa butu na haifanyiwi kazi kwa sababu ambazo hazieleweki

So far magazeti ya JAMBO LEO, DIRA, MTANZANIA yamekuwa yakiandika habari na kutoa tuhuma mbali mbali dhidi ya NSSF na zaidi dhidi ya aliyekuwa mkurugenzi wa hilo shirika Dr. Ramadhani Dau ambazo kwa mtazamo wangu ni zaidi ya slander na zimejikita kwenye libel.

Ukweli uliopo mpaka sasa ni:

1. Ripoti ya mkaguzi mkuu wa serikali bado haijawa public .

2. Ripoti ya mkaguzi mkuu wa serikali iliopo bado haijapelekwa bungeni kujadiliwa na bunge.

3. Ripoti inayojadiliwa kwenye mitandao kama ya JamiiForums na magazei ni feki.

4. Magazeti na uongozi wa JamiiForums/media hawajauliziza ofisi ya mkaguzi mkuu wa serikali ukweli juu ya hii ripoti.

5. Ripoti ambayo iko mitaani na kwenye mitandao ya jamii ni ripoti ambayo ilikuwa na tuhuma nyingi dhidi ya NSSF lakini siyo ripoti ambayo kapelekewa Rais,

6.Waziri wa habari, Nape Nnauye kukaa kimya maana yake ni nini na wizara yake kukaa kimya kuhusu huu wizi wa nyaraka za siri za serikali.

7. IGP naye kukaa kimya ina maana jeshi la polisi linaridhia na linashindwa kutekeleza hii sheria ya cyber crime au na lenyewe linaridhia huu uvunjaji wa sheria?

Unajua nini maana ya 'investigative journalism'?
 
Tumenyimwa pesa za MCC na zinginezo kwa sababu ya sheria ya CYBER CRIME

Lakini cha ajabu hii sheria imekuwa butu na haifanyiwi kazi kwa sababu ambazo hazieleweki

So far magazeti ya JAMBO LEO, DIRA, MTANZANIA yamekuwa yakiandika habari na kutoa tuhuma mbali mbali dhidi ya NSSF na zaidi dhidi ya aliyekuwa mkurugenzi wa hilo shirika Dr. Ramadhani Dau ambazo kwa mtazamo wangu ni zaidi ya slander na zimejikita kwenye libel.

Ukweli uliopo mpaka sasa ni:

1. Ripoti ya mkaguzi mkuu wa serikali bado haijawa public .

2. Ripoti ya mkaguzi mkuu wa serikali iliopo bado haijapelekwa bungeni kujadiliwa na bunge.

3. Ripoti inayojadiliwa kwenye mitandao kama ya JamiiForums na magazei ni feki.

4. Magazeti na uongozi wa JamiiForums/media hawajauliziza ofisi ya mkaguzi mkuu wa serikali ukweli juu ya hii ripoti.

5. Ripoti ambayo iko mitaani na kwenye mitandao ya jamii ni ripoti ambayo ilikuwa na tuhuma nyingi dhidi ya NSSF lakini siyo ripoti ambayo kapelekewa Rais,

6.Waziri wa habari, Nape Nnauye kukaa kimya maana yake ni nini na wizara yake kukaa kimya kuhusu huu wizi wa nyaraka za siri za serikali.

7. IGP naye kukaa kimya ina maana jeshi la polisi linaridhia na linashindwa kutekeleza hii sheria ya cyber crime au na lenyewe linaridhia huu uvunjaji wa sheria?
Dogo tulia ukamuliwe.........

Wewe ni jipu
 
Tumenyimwa pesa za MCC na zinginezo kwa sababu ya sheria ya CYBER CRIME

Lakini cha ajabu hii sheria imekuwa butu na haifanyiwi kazi kwa sababu ambazo hazieleweki

So far magazeti ya JAMBO LEO, DIRA, MTANZANIA yamekuwa yakiandika habari na kutoa tuhuma mbali mbali dhidi ya NSSF na zaidi dhidi ya aliyekuwa mkurugenzi wa hilo shirika Dr. Ramadhani Dau ambazo kwa mtazamo wangu ni zaidi ya slander na zimejikita kwenye libel.

Ukweli uliopo mpaka sasa ni:

1. Ripoti ya mkaguzi mkuu wa serikali bado haijawa public .

2. Ripoti ya mkaguzi mkuu wa serikali iliopo bado haijapelekwa bungeni kujadiliwa na bunge.

3. Ripoti inayojadiliwa kwenye mitandao kama ya JamiiForums na magazei ni feki.

4. Magazeti na uongozi wa JamiiForums/media hawajauliziza ofisi ya mkaguzi mkuu wa serikali ukweli juu ya hii ripoti.

5. Ripoti ambayo iko mitaani na kwenye mitandao ya jamii ni ripoti ambayo ilikuwa na tuhuma nyingi dhidi ya NSSF lakini siyo ripoti ambayo kapelekewa Rais,

6.Waziri wa habari, Nape Nnauye kukaa kimya maana yake ni nini na wizara yake kukaa kimya kuhusu huu wizi wa nyaraka za siri za serikali.

7. IGP naye kukaa kimya ina maana jeshi la polisi linaridhia na linashindwa kutekeleza hii sheria ya cyber crime au na lenyewe linaridhia huu uvunjaji wa sheria?

Weka akiba ya maneno.
 
We umetumwa nini.!! Kama unaona ripoti ya CAG wanayotumia wanahabari kuwajulisha watanzania ni feki tuwekee ya kwako ambayo si feki.

Hivi hukumbuki hata tuhuma za bandarini kukwepa kodi kwa kupitisha makontena bila kuripa na mchepuko wa mafuta uliiburiwa na magazeti.!!! Acha vyombo vya dola vifanye kazi yake yaani kaa kimyaaa kabisa na funga domo lako, moja ya vyanzo vya kuibua kashifa za ufisadi ni vyombo vya habari yakiwemo magazeti..!!!
 
Back
Top Bottom