Antony Tonito
Member
- Aug 29, 2013
- 9
- 1
Katika simple observation niloifanya nimegundua kuwa binti akipewa mimba najamaa, mwanaume is in risk of being sentenced compared to binti.
Likewise kama kunaushirikiano katika kutoa mimba binti anaonekana guilt compared to mwanaume.
Hivi kwa nini iko hivo? kwanini isiwe kama ni kufungwa basi wote na hata jamii inavomchukulia mwanamke aliyetoa mimba kwanini isiwe the same na kwa yule alempa na kushirikiana ktk utoaji?
KWA LUGHA NYEPESI
Mwanamke akitoa mimba anaonekana mbaya tena sana ktk jamii hata kama ameshirikiana na mwanaume ktk kutoa, lkn manaume haonekani mbaya kama mwanamke.
Pia ukimpa mwanamke mimba unaweza kufungwa na mwanamke akaachwa huru, kwanini iko hivo?
Likewise kama kunaushirikiano katika kutoa mimba binti anaonekana guilt compared to mwanaume.
Hivi kwa nini iko hivo? kwanini isiwe kama ni kufungwa basi wote na hata jamii inavomchukulia mwanamke aliyetoa mimba kwanini isiwe the same na kwa yule alempa na kushirikiana ktk utoaji?
KWA LUGHA NYEPESI
Mwanamke akitoa mimba anaonekana mbaya tena sana ktk jamii hata kama ameshirikiana na mwanaume ktk kutoa, lkn manaume haonekani mbaya kama mwanamke.
Pia ukimpa mwanamke mimba unaweza kufungwa na mwanamke akaachwa huru, kwanini iko hivo?