Rais wetu mpendwa, juzi tuliona umetoa mitambo ya kuchimba maji na mitambo mizito kabisa, Sasa muda huu maeneo mengi Dar hayana maji na mto Ruvu siyo tegemeo tena.
Nakuomba mama Mpenzi tuonee huruma, mfuko wa maafa utumike kwa hali hii ya dharura vifaa ya kuchimba ulivyogawa vitumike kuchimba maji sehemu zile ambazo hazina maji kabisa hata kama yana chumvi ni bora kuliko hali hii kwa sasa.
Huku Dar kuna watu wana visima vya kuchimba ndo msaada kwa baadhi ya watu kwa sasa ila ni gharama kumudu, sasa kwa kuwa mitambo ipo naomba sana Waziri mkuu atumie mfuko wa maafa kuchimba visima.
Nakuomba sana Mama
Nakuomba mama Mpenzi tuonee huruma, mfuko wa maafa utumike kwa hali hii ya dharura vifaa ya kuchimba ulivyogawa vitumike kuchimba maji sehemu zile ambazo hazina maji kabisa hata kama yana chumvi ni bora kuliko hali hii kwa sasa.
Huku Dar kuna watu wana visima vya kuchimba ndo msaada kwa baadhi ya watu kwa sasa ila ni gharama kumudu, sasa kwa kuwa mitambo ipo naomba sana Waziri mkuu atumie mfuko wa maafa kuchimba visima.
Nakuomba sana Mama