Suala la carry over course moja

Suala la carry over course moja

Zorginashao

Member
Joined
Aug 19, 2020
Posts
40
Reaction score
16
Wakuu Kuna uwezekano Bodi ya mkopo kusitisha mkopo kisa carry over ya course moja.?
 
Wakuu Kuna uwezekano Bodi ya mkopo kusitisha mkopo kisa carry over ya course moja.?
Hapana mkopo wako utapewa lkn mwaka wamwisho hutapewa so utajilipia ww mwenyewe maana wanakupa kutokana na muda sahihi wa course y'ako
 
Ukiisoma second year si utakuwa ushaicomplete..
Sijajua chuo chenu kina kanuni zipi lkn kwetu ilikuwa unasoma somo Moja tuu ambalo umecarry then next year ndo unaingia mwaka unaofuata kama ni second au third year
 
Mkopo utapewa ila usiwe nje ya mkataba wa muda wa masomo
 
Sijajua chuo chenu kina kanuni zipi lkn kwetu ilikuwa unasoma somo Moja tuu ambalo umecarry then next year ndo unaingia mwaka unaofuata kama ni second au third year
Ss Kama umecarry, mwaka unaokuja unasoma course za mwaka huo na hio pia uliocarry
 
Hapana uwez kusoma course za mwaka tofauti kwa wakati mmoja never happen before Mkuu
I mean mtu mfno amecarry let say Chem101 akiwa first year.. second year first semester ataisoma hyo chem101 huku anasoma courses za 2nd year..ndo ilivyo kwa baadh ya vyuo..utajua mwenyewe..kama utaisoma ukiwa ndan ya system au ukimaliza chuo,pia hautagraduate adi uisome hyo..
 
I mean mtu mfno amecarry let say Chem101 akiwa first year.. second year first semester ataisoma hyo chem101 huku anasoma courses za 2nd year..ndo ilivyo kwa baadh ya vyuo..utajua mwenyewe..kama utaisoma ukiwa ndan ya system au ukimaliza chuo,pia hautagraduate adi uisome hyo..
Apo sawa Mkuu maana kila chuo kina utaratibu wake so kama kwenu ipo ivyo apo sawa
 
Back
Top Bottom