Suala la ajira nchi hii ni siasa

Suala la ajira nchi hii ni siasa

mmariii

Member
Joined
Jul 12, 2015
Posts
71
Reaction score
57
Ajira za nchi yetu zimekuwa kitendawili, nani wa kukitegua? Zimekuwa zikitangazwa bila ya utekelezaji.

Wanaharakati wenzangu hebu tupa maoni yako juu ya hili, je! Nini kipo nyuma ya pazia la ajira. Au ni Uchumi wetu umeyumba? ...

Au tufikiri njia mbadala ya kujikwamua sababu kila upande mgumu. Mitaji shida, si kilimo si biashara. Kipaji nacho sinaa, ningecheza mpira au kuimba mziki. Vipi nifanye nn wadau..

masudi.jpg
 
Pole sana, lakini natamani serikali ingetuajiri japo miez minne tu kisha tutumbuliwe, mm Nina kipaji lakini bado inahitajika pesa......hatujaajiriwa tangu 2015 hafu Leo hii wanatangaza nafasi 3000????? Hawako serious, nashauri ulime kama maji huko uliko sio shida, kakope mbegu za mboga dukani
 
Ajira za nchi yetu zimekuwa kitendawili, nani wa kukitegua? Zimekuwa zikitangazwa bila ya utekelezaji.

Wanaharakati wenzangu hebu tupa maoni yako juu ya hili, je! Nini kipo nyuma ya pazia la ajira. Au ni Uchumi wetu umeyumba? ...

Au tufikiri njia mbadala ya kujikwamua sababu kila upande mgumu. Mitaji shida, si kilimo si biashara. Kipaji nacho sinaa, ningecheza mpira au kuimba mziki. Vipi nifanye nn wadau..

View attachment 576569
Magufuli anaona kama AJIRA siyo suala MUHIMU Kwake ?
 
Pole sana, lakini natamani serikali ingetuajiri japo miez minne tu kisha tutumbuliwe, mm Nina kipaji lakini bado inahitajika pesa......hatujaajiriwa tangu 2015 hafu Leo hii wanatangaza nafasi 3000????? Hawako serious, nashauri ulime kama maji huko uliko sio shida, kakope mbegu za mboga dukani
Nikope huku sina kitu cha kuweka dhamana??
 
Back
Top Bottom