Struggle ya kumiliki chombo cha moto na huna basic knowledge ya chombo hicho

Struggle ya kumiliki chombo cha moto na huna basic knowledge ya chombo hicho

BabaMorgan

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2017
Posts
5,102
Reaction score
14,024
Umestruggle kulima mpunga Igurusi Mungu kakubariki umevuna umepata visenti vyako ukaona ununue zako gari la kurahisisha harakati zako unaweka rekodi ya kuwa mtu wa kwanza kwenye ukoo wa Mwakalinga kumiliki gari

Struggle zinaanza kimsingi utajifunza mengi but in hardway bahati mbaya upate fundi mjanja mjanja basi mpaka ujue unajua fundi wako atakuwa kashajenga kupitia wewe.

Utakuwa kama mzazi aliyeombwa pesa ya kutengeneza asembo
images (2).jpeg
 
Back
Top Bottom