Structure ya uchumi wa Tanzania

wewe ni mjinga sana kaka. Sasa kati ya mipango miji na kupima kipi kinaanza? Waliondoa wao ila wewe hujui jinsi ya kuziondoa. Pumbavu kabsa sasa bila gharama utatengaje bajeti ?
 
wewe ni mjinga sana kaka. Sasa kati ya mipango miji na kupima kipi kinaanza? Waliondoa wao ila wewe hujui jinsi ya kuziondoa. Pumbavu kabsa sasa bila gharama utatengaje bajeti ?
Nimeshakuambia wewe hata Uniite mjinga au mpumbavu kamwe huwezi nikera wewe niite mjinga au mpumbavu ukichoka kampumzike alafu urudi tena useme wewe mjingaa na mpumbavu na circle goes on

Nimekuambia squatter zinaondoaka kwa kuwa na ukuaji uchumi mkubwa ambao utakua consistent kwa miaka zaidi ya kumi sio swala la mijuiza ni lazima uwe na economic growth ambayo ni inclusive

Changamoto kubwa inayofanya hizi squatter kutokuondoka na kuongezeka ni kuwa na economic growth ambayo haiko connected na watu walio wengi
 
kwaio saiv umetoka kweny maada ya kupima na kupanga? Nijibu bas kati ya kupanga na kupima kipi kinaanza?
 
Utapangaje kitu ambacho hujapima serious unauliza swali kama hili kweli
Basi hujui mambo kaka ni bora kukaa kimya. Unaanza mipango miji na unakuja survey. yaan urban planning preceed surveying. Kumbe nilikua nabishana na mtu asiyejua mambo na anajiona anajua inshort you have delusional grandeur
 
Basi hujui mambo kaka ni bora kukaa kimya. Unaanza mipango miji na unakuja survey. yaan urban planning preceed surveying. Kumbe nilikua nabishana na mtu asiyejua mambo na anajiona anajua inshort you have delusional grandeur
Sasa survey sio issue ya kawaida mbona iko wazi ndo inaanza ebu jikite kwenye mambo ya msingi usinnganganie tu point moja ambayo ni obvious

Mimi naongelea uhilisia wewe unaleta story za kuaminika
 
Sahihi kabisa, kuna namna watu wanauchukulia poa sana uchumi aisee.
 
Kama nchi nyingine wameweza kuondoa squatter hata sisi tunaweza ziondoa kwa kupanga miji na kuweka ni sheria kufuata mipango miji
Kwa sheria ya umiliki wa Ardhi ya Nchi yetu, itakuwa ni ngumu sana kuondoa squatter. Na ukibadilisha sheria Ardhi yote itamilikiwa na wachache (Kenya case) Ndiyo maana ninasema unaongea mambo magumu sana kwa nadharia nyepesi nyepesi mno Mkuu. Uchumi hauwezi kuujadili kirahisi hivyo..... ni muhimu kuuconect na culture, sheria mbalimbali, reality nk lakini muhimu sana ku articulate kwa number na kutoa interpretation ya hizo variables zako...
 
Watanzania tunasafari ndefu sana kwa akili hizi sidhani kama tutafika
hakuna jambo rahis na mambo mazuri yana gharama

Kwa hiyo unataka hizi squatter ziendelee kuwepo kwa sababu ni nadharia nyepesi
 
Watanzania tunasafari ndefu sana kwa akili hizi sidhani kama tutafika
hakuna jambo rahis na mambo mazuri yana gharama

Kwa hiyo unataka hizi squatter ziendelee kuwepo kwa sababu ni nadharia nyepesi
Napata shida sana na baadhi ya waleta mada; sasa kaka wewe umeleta mada halafu hautaki watu wafikiri the hard way. Othwrwise ungeandika gazeti ukachapisha then basi... it tells kiwango chetu cha kufikiri as a country; mimi ninadhani umeleta mada watu waichallenge, wakuongezee uelewa, tujadili nk nk..

Yaani unakuea emotional mara mambo mazuri yana gharama (hoja za kisiasa siasa) kama umezungumza Uchumi, kaa pembeni angali watu wanavyocheza na mada na Kama ni pambo umeleta hapa JF tusome tu then tukae kimya au tukusifie (basi -all the best mkuu)
 
Unavyosema niko emotion kuna sehemu nimekudhihaki au kukuita majina ya ajabu ebu nionyeshe
 
Hongera mtoa mada kwa kudhibitu hasira zako

Pole mchangiaji wa kwanza kwa kuonesha matusi yako.
 
Mkuu hivi steel smelter wamefikia wapi ? Kuna kipindi niliskia kapewa mchina kaanza kazi au bado anasuasua? Tukifanikiwa hapo na aluminum Halafu wafanye kila kitu bongo tutakuwa tumepiga hatua. Tatizo sidhani tuna support industries ya hivyo viwili. Nipo so interested na Aluminum smelter.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…