Ongea nae vizuri mbona hana shida au Noah kukosekana kumemfanya akachanganyikiwaMbona me ananinyima jamaan
Age mate mambo?
Sijui mwenzio... Mie ndo kwanza Naona leoNaombeni Jina halisi la "mapupu" shunie,sakayo neybright na wengineo
Yaan bora mm hizi Noah sijapigia hesabu sakayo alipigia mpaka Noah za watu yaanDaaaahhh!!
Kwa nini Noah hatujapata jamani
Shunie wewe mapupu unakula mie sipendi yanavyodanadana mdomoni yaan kwa kifupi hayatulii yakatafunwa vizuri
Binafsi sipendi kitu cha kunisumbua akili yangu.
Nilikuwa natoka Arusha Ijumaa kuja Seven Eleven...!Haha
Unawaza hela tuu wewe
Woiiiiii me sijui jina lingine najua mapupu kuna lingine bandamaNaombeni Jina halisi la "mapupu" shunie,sakayo neybright na wengineo
Kafichwa huko jamaanPoah Linaamo yupo wapi? Namtafuta kama makinikia
Siku hiyo nadhani ulihadithia sananayapenda Ney kuna siku nilienda uswahilini huko nikakuta yanauzwa 500 acha nikule ya buku na chapati jamaan
Inawezekana hizi mambo za Noah zimemvuruga kabisaOngea nae vizuri mbona hana shida au Noah kukosekana kumemfanya akachanganyikiwa
Duh!Kafichwa huko jamaan
Sijui mwenzio... Mie ndo kwanza Naona leo
Woiiiiii me sijui jina lingine najua mapupu kuna lingine bandama
Bandama ipikwe pamoja na mapupu. Daah. Pilipili pembeni. Aiseee.Woiiiiii me sijui jina lingine najua mapupu kuna lingine bandama
Poa mwifwa,za weweHabari yako carba
Yaan Mwifwa huwa nina bahati nayo kuna maeneo nikienda lazima nikutane na mapupu yaan nakaa kabisa nakula weeh na chapati zanguSiku hiyo nadhani ulihadithia sana
Ukimpata unitag.Poah Linaamo yupo wapi? Namtafuta kama makinikia