carbamazepine
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 46,569
- 285,617
Kho kho kho cuzoo malizia basi avatar ya nani etiii


yaani weweAvatar yangu jamani lol
Kho kho kho cuzoo malizia basi avatar ya nani etiii


yaani weweKwalipi tena?Ebu tusimulie kidogo uliachika eenh kwahiyo shemela kakusamehe


MmmmhNdoa hupangwa na Mungu na ukiona unaemchagua hakupelekei kwenda kwenye ndoa rudi kwa Mungu
Mwambie Mungu nampenda Fulani kama ni wangu kwa maisha yangu nisaidie na kama sie ni huyu anaeletwa bas nipe mapenzi
Habar za kumng'ang'ania mwanaume unajuaje kama ndo huyo wa kwako haya mambo sio kung'ang'ania muombe Mungu atakusimamishia tu wakwako
Na utampenda na kuishi vizur usianze kusema sio chaguo langu,,huyo mwingine nani alikwambia chaguo lako
Ndo siku mbili unaolewa ooh bora ningewasikiliza wazazi, waume wakuchaguliwa sio wazuri ila inapotokea migogoro simama na Mungu akupe wako![]()
Muwe na mchana mwema![]()
Umetisha aiseeh fanya na keshoAchana na mapishi ya google dogo
Sitaki nataka usipunguze ongeza zaidiNapunguza dozi![]()

Yaani pole sanaNipooooo majukumu tu mwifwa yaan
Aisee.Kwel aisee ila mimi naona kuna sababu kubwa imekuleta huku![]()
![]()
Hiyo veepe ni veeepe.Huku veepe
Tulipeeeeeee
Bora umeliona hilo![]()
![]()
![]()
Asante sanaYaani pole sana
Ni poaaaaa huko ni veeepHuku veepe
Hizo emoj veepe
Magu kakazaTulipeeeeeee
KaribuAsante sana
Zinakushangaa weweHizo emoj veepe