Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,503
- 57,043
Babe we ni mwanaume wa wapiii ebu jitahidi kukaa siku arobaini bila kula nione uanaume wako
hapana aisee bado napenda ugali tembeleBabe we ni mwanaume wa wapiii ebu jitahidi kukaa siku arobaini bila kula nione uanaume wako
hapana aisee bado napenda ugali tembele
MmhLabda dr kama "dr shika "![]()
![]()
We ni mwanaume wa dar![]()
![]()
hapana aisee bado napenda ugali tembele
OhoooWe ni mwanaume wa dar
Leo shemeji yupo wanafungua mwaka pamojaSlim5 nani kakuteka leo nimekumiss mm shunie
Mule mule
Au ni wa wapi etiOhooo
nakuambia leo patachimbika, panya watafute pakwenda, ndani hapakaliki.Kule yalikozaliwaAu ni wa wapi eti
Sio kweliMule mule
Acha bana ndio upo huko unapoishiKule yalikozaliwa
Ahahh![]()
![]()
nakuambia leo patachimbika, panya watafute pakwenda, ndani hapakaliki.
Kwelii ila unakataa tuSio kweli
HapanaAcha bana ndio upo huko unapoishi
NimekusomaHapana
Huendi kulala leo