Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Wewe sikuamini tenaa nishajua hila zako



mwanaume anatakiwa kuwa hivyo hasisikilize maneno maneno
Wewe sikuamini tenaa nishajua hila zako



mwanaume anatakiwa kuwa hivyo hasisikilize maneno manenoSawaMama Naveeen
Tafadhali...! Choonde choonde! Shunie asikasirike
Uzuri mkeo ananijua mnuno wakeMama Naveeen
Tafadhali...! Choonde choonde! Shunie asikasirike
HapanaaaaHivi Dada si uliniambia nimuulize au
Wa kubwa wanafaudu![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Uchochezi huu
Kwani sakayo umri wangu anataka aufanyie nini, au anataka akate rufaniHivi Dada si uliniambia nimuulize au

Mmh unanikanaHapanaaaa
Na wewe piaSawa
Usiku mwema
Muulizenu shunie anajua,mana nikisema mimi mtasema nadanganya bure.Umeshataja umri?
Ahahahhh anasema ana wasi wasi eti naweza niingie kwako kumbe kiben 10 amesema atakuja kunitoa na difendaKwani sakayo umri wangu anataka aufanyie nini, au anataka akate rufani![]()
Macho yng bana: eti nimesoma hapo mauno...Uzuri mkeo ananijua mnuno wake
Sa ndo uulize hadharani babeMmh unanikana
Twende mama...Jamani
Mlale unono, mie naingia mzigoni
Siwezi kusikiliza maneno ya watu babe, unajua kuna watu humu wanatuombea sana mabaya.... hasa huyu mtu mmoja huyu yani amezidi....mwanaume anatakiwa kuwa hivyo hasisikilize maneno maneno