Story ya kweli: Jinsi nilivyomtapeli Ngosha

Story ya kweli: Jinsi nilivyomtapeli Ngosha

Hiyo ya makoroboi anaweza kuwa sahihi maana kipindi hiki zinapaki kituo kimoja na zile za maduka tisa,nyasaka n.k ambapo pale ni lango la kuingia makoroboi.
Ila hiyo ya daladala za Bwiru kupita kona ya Bwiru huo ni uwongo mchana kweupe.❎✖
Ahsante, Uko sahihi sn kuhusu Makoroboi huyo bwana anajifanya anaijua Mwanza wkt hajui kitu....
Hiyo ya kona ya bwiru nimemjibia pia ni kwamba sijasema kona ya bwiru nimesema mbele ya kona ya bwiru mkuu
 
daah umenikimbusha chief yangu ni hii

kuna kipindi nilikua nimeenda kulipa benki kudiposit hela ya mzee kwenye akaunti ya ukoo wao dodoma uko .

basi bwana kufika pale benki nakuta watu wa kutosha na benki bado haijafunguliwa. kuuliza naambiwa ni wanafunzi wa chuo ndo mwaka umeanza wakusoma ila wameongezewa hela ya kulipa ghafla kama 85k

tukaendelea kusubili watu wengi si kitoto.
mda ukafika watu tukazama ndani foleni hadi nje .
alafu wapokeaji wanafanya kazi taratib vibaya .
nilkua kama mtu wa 50 hivi

story yenyewe

mpaka saa6 watu bado utazani asubuhi
mchezo ukaanza watu wa nyuma wanawapa wa mbele pesa wawalipie
kwaio folen ikawa haisogei.
jamaa mmoja akamwabia mhudumu mchezo unaofanyika .

jamaa: asee watu wanalipiana afu wamefika saivi tu tafadhali usipokee zaidi ya slip moja

mhudumu:siwezi kataa kumuhudumia mteja

mhudumu akawa amechochea moto wa mchezo
hapo nshafika kama mtu wa 15 na sweta langu la kijivu.
ghafla nashangaa watu kama 12 wananikabizi pesa na karatasi niwalipie chap chap nikazkamata fresh
nkaendelea kusubili zamu ifike nafika kama mtu wa 8 akili ikanambia (usipotumia akili utakufa masikini mbwa wewe) duh nkashtuka hapa nfanyeje akili ikaja naam

nikatoa laini na memory chap kwenye simu alafu nkamuita mmoja wa walionipa hela nikamwambia anishikie ili niwe huru

baada ya kumpa kweli bhana wakapunguza kuniangalia na kua bize kiasi flan .hapo sasa

mwanaume chap nkavua sweta nikamkabidhi wa nyuma yangu niikabaki na manga nyeupe
mdogomdogo naanza kuelekea mlangoni .ghafla naona mwnga wa jua kwamba tayari niko nje

asee sikumbuki ilikuaje ila nakumbuka tu niljikuta nipo geto na laptop mpya na simu mpya smart.
na mpaka leo sijawahi kusogea kwenye ile benki

NBukipata fursa tumia mbwa ww
Hahahaaa......hii kali mkuu ni km zile story za "KULA TUNDA KIMASIHARA'
 
Dhambi nyingine hata tukienda mbinguni watu watauliza we bwege hiii dhambi ulisema uongo kipuuzi ilikusaidia nini?si bora wenzio walisema uongo wakapata pesa wakatumia au wakapata madem wakali...wewe uongo wa kibwege tu nenda motoni fala wewe. Unaenda kinyonge kwa story hii ya uongo wa kitoto.
 
Dhambi nyingine hata tukienda mbinguni watu watauliza we bwege hiii dhambi ulisema uongo kipuuzi ilikusaidia nini?si bora wenzio walisema uongo wakapata pesa wakatumia au wakapata madem wakali...wewe uongo wa kibwege tu nenda motoni fala wewe. Unaenda kinyonge kwa story hii ya uongo wa kitoto.
We mjanja lkn sio ngosha wote wajanja km ww mkuu......
Motoni utaenda ww mwenzio nimekamata mpunga kirahisi na kwenda kuutumia nitakavyo
 
asiyerogeka ni Mungu tu na mwanae Yesu

Kile kitambaa ulichompa na ile sigara ndivyo vitakupa somo.

kama kweli ulitapeli utajuta
Hahahaa......haiwezekani mkuu najiamini sana
 
Hakuna ngosha wa kukubali kulipia dawa kwa mtu anayekutana nae kwenye gari. Ngosha unaweza kumtapeli kwa vitu vingine ila si kwa mtindo huo.
 
Hakuna ngosha wa kukubali kulipia dawa kwa mtu anayekutana nae kwenye gari. Ngosha unaweza kumtapeli kwa vitu vingine ila si kwa mtindo huo.
Sawa ila omba usikutane na matapeli... inawezekana nae anashangaa huko aliko lkn ndo imeshatokea hivo imebaki story😀😀
 
Kwaio huko kwa washamba mtu ana laki 5 kwenye begi lakini anataka alipe 200 badala ya 1000?
 
Back
Top Bottom