Abubakari Mussa
Member
- Mar 26, 2020
- 39
- 14
Take therefore no thought for the morrow , for the morrow shall take thought for the things of itself
SawaOyaa Toka apo bar ushalewa mkuu
Hapana boss , Dsm bossMkuu uko moro.?
Reality ni kua haya maisha yetu ndio yapo hivyoo misuko suko kibaoo,, ila lengo la hayo maneno ni kua hata ukiwazaa weeee , ukijipa stress weeee , itasaidia kitu gani zaidi ya kukuumiza zaidi? , ni kheri ukae chini ujiulize lineshaatokea tunafanyaje sasa?Na huku una njaa, madeni, ada ya shule, kodi ya nyumba, magonjwa, wezi, %@&@#