Steven Gerrard aachia ngazi Aston Villa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,598
217,991
Baada ya kipigo kitakatifu cha bao 3-0 kutoka kwa Fulham, bwana Steve Gerald ametangaza kung'atuka kwenye timu hiyo. Bali haifahamiki chanzo cha yeye kuweka mpira kwapani.

Angalizo: Ukiona hautoshi usikimbilie vyeo vikubwa, utadhalilika!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom