KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Katika hali isiyo ya kawaida jana Katibu uenezi alitoa ujumbe instagram akibeza Wema Sepetu kurudi CCM Kwakuandika haya!!
Baada ya kubeza nakuona urudiji wa Wema hauna tija katika chama na kuwahasa kwa kusema meanachama ni yule mvumiivu na siyo yule malaya wa siasa!!
Baada ya hayo
Aliyepambana kumrudisha wema Steve Nyerere povu likamtoka!
Swali Steve Nyerere ana nguvu gani au ninani yupo nyuma yake hadi anathubutu kumsema Katibu Mwenezi au ni.......
Baada ya kubeza nakuona urudiji wa Wema hauna tija katika chama na kuwahasa kwa kusema meanachama ni yule mvumiivu na siyo yule malaya wa siasa!!
Baada ya hayo
Aliyepambana kumrudisha wema Steve Nyerere povu likamtoka!
Swali Steve Nyerere ana nguvu gani au ninani yupo nyuma yake hadi anathubutu kumsema Katibu Mwenezi au ni.......