"Bilnass hawezi kufanana na mimi, mara ya kwanza kusikia jina hilo nilijua ni mabasi mapya ya Mtwara. Hawezi kujiita staa wakati hata Kibaha hajulikani, yeye atulie tu kukiwa na 'birthday' za wanangu nyumbani aje aimbe nimpe elfu hamsini"- Steve Nyerere.
kama ni kweli basi Steve ni shidaaaaaa,et mara yake ya kwanza kusikia billnas alijua ni kampuni mpya ya mabasi ya mtwara????hahahahahaaaaa,kweli dar nenda na nguo tu,tabia utazikuta hukohuko
kama ni kweli basi Steve ni shidaaaaaa,et mara yake ya kwanza kusikia billnas alijua ni kampuni mpya ya mabasi ya mtwara????hahahahahaaaaa,kweli dar nenda na nguo tu,tabia utazikuta hukohuko