Steve Barker ateuliwa kocha Mkuu Simba SC

Steve Barker ateuliwa kocha Mkuu Simba SC

Inside10

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2011
Posts
33,623
Reaction score
40,186
Karibu Simba SC, Kocha Mkuu Steve Barker.

1504318801.jpg
 
Ila simba mnajitahidi sana kubadilisha makocha! Kama makocha ndiyo wangekuwa ni makombe, basi mpaka muda huu mngekuwa mna idadi kubwa zaidi kuliko timu nyingine yoyote ile kwenye ligi yetu.
 
Karibu Simba SC, Kocha Mkuu Steve Barker

View attachment 3517716
Nishaacha kushabikia Simba....huyo kocha mwezi March 2026 wanampiga chini pia,wakati huo michezaji ndio ileile mipoteza Chance za kufunga,mikosa utulivu wawapo jirani na lango la mpinzani, mibinafsi kina Mpanzu,na kibu D,
Simba Ina wachezaji wa bei rahisi na wanaoridhika mapema tofauti na wapinzani wao japo timu yao inabebwa na wachezaji watatu,ila wanajituma balaa.
 
Back
Top Bottom