Sikupingi katika hili, na pia status zinasema mengi kuhusu hulka na tabia za mtu ziwe mbaya au nzuri .Ambazo sio rahisi kuzigundua kiuhalisia.Hakuna watu ninaowadharau kama wanaoweka mafumbo status au wale wenye stress wanapost.
Kupitia hayo huwa najua pa kuchora mstari na watu wa aina hiyo.
😅😅Utani wa jadi huoMm Huwa naweka clips za vichekesho tu tena ni moja tu haizidi mb 2 na ni mara 2 jumamosi na jumapili tu, Huwa nashangaa unakuta mtu kaweka status hazipungui 5 tena zote ni video alafu ni za ajabu mpaka unashangaa.
Kuna jamaa mmoja ni Dr nilikuwa namuheshimu sana siku Simba amekula 5 kutoka kwa Yanga kaweka status picha ya kuku mwekundu anapandwa na jogoo wa njano, nikamdharau Toka siku hiyo maana binafsi kabla sijapost status Huwa naangalia mfano hii video akaiona Mzee wangu, aunt yangu au mtu yyte ninayeheshimiana nae atanichukukiaje.
🙏🙏🙏🙏You are my favorite person here.
KabisaHakuna watu ninaowadharau kama wanaoweka mafumbo status au wale wenye stress wanapost.
Kupitia hayo huwa najua pa kuchora mstari na watu wa aina hiyo.
Hii comment ifunge huu uzi..umemaliza kila kituMbona uwekaji au usomaji wa status ni moja ya njia za kufikisha tu ujumbe kwa mtu au watu wanaozi-view na zipo nyingi tu ambazo zinaelemisha au kuburudisha. Ni moja ya njia ya kujumuika na jamii japo kuna status nyingine zinakera. Hakuna sababu ya kuyafanya maisha kuwa magumu kiasi hicho.
Nahisi jamaa ni favorite wako kupitia ule uzi wa waremboYou are my favorite person here.
Hahaaa.. umenichekesha hapo kwenye kuku kupandwa.Kuna jamaa mmoja ni Dr nilikuwa namuheshimu sana siku Simba amekula 5 kutoka kwa Yanga kaweka status picha ya kuku mwekundu anapandwa na jogoo wa njano, nikamdharau Toka siku hiyo maana binafsi kabla sijapost status Huwa naangalia mfano hii video akaiona Mzee wangu, aunt yangu au mtu yyte ninayeheshimiana nae atanichukukiaje.
Hawa ndio wanaview ila usione, yaani wanajinafikia wenyewe.Ishi maisha yako! Usifuatilie maisha ya wengine. Ukiona hivyo ujue wewe ndiye mwenye tatizo.
Kuna mmoja tunaheshimiana,na heshima zake mtaani lakini status zake mara nyingi ni kuweka quotes za maneno ya matusi makubwa ila yeye anaona kama anafurahishwa watu but nikujiaibishaHakuna watu ninaowadharau kama wanaoweka mafumbo status au wale wenye stress wanapost.
Kupitia hayo huwa najua pa kuchora mstari kwa watu wa aina hiyo.
Na huu bado ni uwoga/insecurity au utoto.Status zangu hata ujifanye kauzu vipi.. ukishaview tu mara mbili au tatu inakuwa ni ulevi.. lazima ukifinguq whatsapp yako utakimbilia kuona nimeweka nini siku ya leo..
Kitu ambacho siwezi kuweka Status ni MAISHA yangu Binafsi pia hata picha zangu etc huwa hazionekan huko..
Kingine, kati ya contacts zangu 89 nimeruhusu watu 25 tu waone nachoweka huko.
Nimemaliza form VI 2006 au unamaanisha udogo wa umbo?Hahaaa.. umenichekesha hapo kwemye kuku kupandwa.
Ila kwa haya maandishi nimegundua kuna uwezekano mkuu wewe bado mdogo ndio maana una insecurity za kawaida sana.