mkuu, cha kwangu kina miezi kadhaa hakionyeshi chochote,ila ukizima na kukiwasha baada ya kama dakika tano kinaonyesha kwa kama sekunde 30 halafu kinaandika NO SERVICE,nimeshawapigia simu startimes mara nyingi lakini hawajanipa solution yoyote zaidi ya kuniambia niende kwenye ofisi zao ambapo hata nilipokwenda waliishia kuniuzia antenna ya nje,na bado haijasaidia lolote
Star times ni wezi!!