Startimes wanatatizo gani na itv

Kisendi

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2009
Posts
699
Reaction score
180
Startimes washenzi kweli wanamatatizo geni na chanel za itv na eatv taarifa ya habari wanaweka black screen tangu lipumba akiongea...mpaka sasa wameweka black hata wakati wa mdahalo katkata.. hivi ving'amuzi vya wachina shida tupu. Itv hebu waulizeni kulkoni tuhamie azam king'amuzi
 
Mimi nilidhani tv yangu mbovu yaani startimes sijui wanaugomvi gani na IPP media
 
washafeli hao wahameni fastaa
 
Kwa kweli hata mimi sasa kesho naenda kuchukua king'amuzi cha azam...nimewachoka sana
 
Hawa jamaa ni mdebwedo sana gharama kubwa huduma mbovu na viantena vyao chaneli chache yaani!
 
Azam haijawahi kukata itv yani ni full HD
 
mimi leo cjaangalia taarifa coz hz zingine nimeishasema tvccm yaani star na tbc siangalii nisije nikapasua tv yangu bure kwa hasira matokeo yake nikapata hasara
 
Startimes mmesikia chukueni hatua
 
Kumbe startimes ni wash**zi yaan yaan wamenikatia matangazo
Wanaandika no service,
Yaan nmebkiza saa tu ntakivunja kingamzi chao...

Jamaa wak*da kweli.
 
TBC wanahisa Startimes kwa maneno mengine serikali ina mkono na hao wachina alafu mnategemea nini kwa midahalo hii ya ITV?

Hawawezi kwenda kumueleza huu ujinga Bakresa anayewakopesha kila kukicha .......hamieni Azam tv ........
 
Mbona kwangu iko fresh xema kuna mda inascratch hasa mchana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…