Mkuu si wewe tuu,kuna majirani zangu wawili na wao walikuwa na tatzo hilohilo,wakawatwangia costomer service,wakaambia walipie kwanza kifurushi ndo wataendlea kupata huduma kama mwanzo(local Chnl.).
Kwaio inawezekana na ww hukuwahi kulipia tangu uliponunua,Chakufanya Nunua kifurushi,waku activate kwa mara nyngne.