Starlet manual inauzwa

Starlet manual inauzwa

adden

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
7,033
Reaction score
15,714
Starlet manual inauzwa ni nzima inatembea na iko katika hali ya kawaida bei mil2 au maelewano
 
hamjui biashara za mtandaoni nyie!tutawaambia mpaka lini,no any specification sasa sisi tutajueje!
 
Gari gani unanunua kwa mil. 2, ni akheri nikanunue boxer mpya.
 
Naona wakuu wanaponda bei 2m hahahah!!!Embu tupia picha tuone kama inaendana na bei au wakanunue Boxer mpya
 
Me ninayo gx 100 namba B..nauza 3.5mil.. Ndo natembelea Yaani.. Ukichukua Ni kuongeza mwarabu wako then safari... Unaenda nalo popote Tanzania, Tairi Mbichi Kabisa.
 
Me ninayo gx 100 namba B..nauza 3.5mil.. Ndo natembelea Yaani.. Ukichukua Ni kuongeza mwarabu wako then safari... Unaenda nalo popote Tanzania, Tairi Mbichi Kabisa.
Ntumie pichA na specifications zake 0656622113
 
Me ninayo gx 100 namba B..nauza 3.5mil.. Ndo natembelea Yaani.. Ukichukua Ni kuongeza mwarabu wako then safari... Unaenda nalo popote Tanzania, Tairi Mbichi Kabisa.
Me ninayo gx 100 namba B..nauza 3.5mil.. Ndo natembelea Yaani.. Ukichukua Ni kuongeza mwarabu wako then safari... Unaenda nalo popote Tanzania, Tairi Mbichi Kabisa.


NIPIGIE NIKO ARUSHA.. NAIHITAJI
0767287941
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom