Starlet..Inauzwa

Starlet..Inauzwa

Sikiliza naomb nimtetee.! We ndo huna akili, unanunua gari likutumikie au ulitumikie..???

Yeye kaona starlet n economy, haili mafuta bali inanusa! Na shida yake n limtumikie gari na sio yeye alitumikie gari! hujawah ona tajiri ana range na terios it mean range inakaa ndan den terios ndo inamtembeza mjini coz n economy!

So hawez kuwaza huko coz anajua life na sio kama ww unaekaa kuanz kusema watu vibaya!

guys mi stil nahitaji mteja ......so fanyeni ivyo tuone instead ov kubishana . asanteni.
 
Sikiliza naomb nimtetee.! We ndo huna akili, unanunua gari likutumikie au ulitumikie..???

Punguza tope kichwan maana naona hutumii akil ya kawaida kufikiria..

Hv unaelewa nn mtu akisema "ndoto yangu"
Yeye kaona starlet n economy, haili mafuta bali inanusa! Na shida yake n limtumikie gari na sio yeye alitumikie gari! hujawah ona tajiri ana range na terios it mean range inakaa ndan den terios ndo inamtembeza mjini coz n economy!

So hawez kuwaza huko coz anajua life na sio kama ww unaekaa kuanz kusema watu vibaya!

Punguza tope kichwan bro!
Hiv unalewa mtu akisema "gar ya ndoto yangu au nyumba ya ndoto yangu"

Ww unaongelea economy ya mafuta kwa kumilik kitu cha ndoto yako??

Mm mwenyewe namilik gar ila gar ninayomilik sio gar ya ndoto yangu..

Ss huyo bwana amekwambia gar ya ndoto yake ni starlet, upo hapo??
Milik starlet wakat unafanya michakato ya kufikia ndoto zako sio umilik starlet ndio useme gar ya ndoto yako..

Waza vizur bro!
 
Punguza tope kichwan bro!
Hiv unalewa mtu akisema "gar ya ndoto yangu au nyumba ya ndoto yangu"

Ww unaongelea economy ya mafuta kwa kumilik kitu cha ndoto yako??

Mm mwenyewe namilik gar ila gar ninayomilik sio gar ya ndoto yangu..

Ss huyo bwana amekwambia gar ya ndoto yake ni starlet, upo hapo??
Milik starlet wakat unafanya michakato ya kufikia ndoto zako sio umilik starlet ndio useme gar ya ndoto yako..

Waza vizur bro!

ila kumbuka kila mtu ana ndoto yake, ndoto yako isiwe universal
 
Nauza gari yangu wadau. ni starlet, rangi ni silver na ipo fresh in kila kitu na katika hali nzuri sana.
Kwa mawasiliano zaidi
#Call 0756 517 588. kwa walio serious tuu.
 

Attachments

  • 1397811119411.jpg
    1397811119411.jpg
    105.3 KB · Views: 338
  • 1397811158471.jpg
    1397811158471.jpg
    112 KB · Views: 269
  • 1397811216034.jpg
    1397811216034.jpg
    89.3 KB · Views: 264
  • 1397811255612.jpg
    1397811255612.jpg
    91.8 KB · Views: 239
  • 1397811297392.jpg
    1397811297392.jpg
    103.2 KB · Views: 250
Sikiliza naomb nimtetee.! We ndo huna akili, unanunua gari likutumikie au ulitumikie..???

Yeye kaona starlet n economy, haili mafuta bali inanusa! Na shida yake n limtumikie gari na sio yeye alitumikie gari! hujawah ona tajiri ana range na terios it mean range inakaa ndan den terios ndo inamtembeza mjini coz n economy!

So hawez kuwaza huko coz anajua life na sio kama ww unaekaa kuanz kusema watu vibaya!

Asante Kiongozi kwa kunijibia huyu kilaza wa mawazo.
 
Inauwezo wa kubeba mbwa wangapi kwa mpigo.., nafuga mbwa wengi sana..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom