Ibrahim K. Chiki
JF-Expert Member
- Apr 5, 2011
- 594
- 163
52130....km toka 1998 (miaka 17) basi itakuwa haitembei sanaKweli hzo km?
mkuu mimi huyo jongoo ndo namtaka!!sh ngapi bosi wangu
Hii ni gari ya ndoto yangu. Mungu akijaalia next year nauvuta huu mkoko.
Wee acha ujinga starlet gar ya ndoto yako?? Inaonyesha ni jins gan kichwan kwako hamna kitu..
Kama starlet ni gar ya ndoto zako ina maana hata kichwan kwako huna ndoto ya kufanya vitu vikubwa..
Waza Range ukikosa Range ukaangukia hata kwenye prado utajipa moyo umejaribu..
Haya umewaza starlet ukikosa starlet si utaangukia kwenye guta??
Waza vikubwa jombaa utatoboa..