bribaki
Member
- Dec 4, 2013
- 59
- 6
majibu yako ni kama ifuatavyo mkuuMkuu kuna vitu hujaweka sawa!
1. Kwa nini unauza...!!
2, Odometer...!
3. Reg n ni A,B au D??
Duh!!! Hili gari hujauza tu hadi leo...
Ni mwaka sasa umepita tokea nione tangazo lako la mwisho la gari hili hili...
Nishaona unaiuza hapa kama mara nne au tano hivi tokea mwaka juzi...
https://www.jamiiforums.com/showthread.php?t=564170
manufacturer: toyota
model: starlet reflet
colour: green/black
Transmition: auto
man year: 1999
Gari ina music system na well maintained..serious buyers piga/wasap 0717297923 uje kukagua gari..karibuni sana
mkuu ukweli ni kwamba niliahirisha kuiuza kwani watu hawakufika bei niliyokua nimepanga na nilipata pesa za kutolea gari yangu iliyokuja mwaka jana.nilitumia gari mpya hii ikiwa imepark na sasa nimefanikiwa kuuza gari na kuagiza nyingine ambayo iko karibuni kufika ndo maana nimeiweka starlwt sokoni