Star TV mnajitahidi lakini toeni fursa sawa kwa wachangiaji

emalau

JF-Expert Member
Apr 25, 2009
2,775
3,100
Nimekuwa nikiifuatilia star TV vipindi vya mijadala ya asubuhi, kwa ujumla mijadala wanayoweka ni mizuri lakini tatizo liko kwenye utoaji nafasi kwa wazungumzaji, akiwepo mzungumzaji ambaye mlengo wake ni kutetea serikali au ccm anapewa nafasi kubwa na wakati mwingine huyo mtu anaongea maneno ya jumla jumla tu anaenda porini wanamuacha.

Akiwepo mpinzani au mwenye maoni tofauti huyo mtu anapewa nafasi kidogo na wakati mwingine anakatishwa au ananyamazishwa asitoe nondo zake. Mfano ni leo asubuhi kijana wa chadema alitaka kuelezea political stability inavyoweza kuathiri uchumi yule kijana alinyamazishwa asiongee kuhusu hilo. Tutakuwa tunajidanganya kwamba uchumi unaweza kukua bila kuwa na uthabiti wa kisiasa.

Kwa hiyo Star TV najua mnaweza mkawa mnapata shinikizo ukizingatia Diallo ni CCM damu damu lkn kama mnaamua kujadili jambo waache watu waongee.

Nawakilisha wadau
 
Nimekuwa nikiifuatilia star TV vipindi vya mijadala ya asubuhi, kwa ujumla mijadala wanayoweka ni mizuri lakini tatizo liko kwenye utoaji nafasi kwa wazungumzaji, akiwepo mzungumzaji ambaye mlengo wake ni kutetea serikali au ccm anapewa nafasi kubwa na wakati mwingine huyo mtu anaongea maneno ya jumla jumla tu anaenda porini wanamuacha. Akiwepo mpinzani au mwenye maoni tofauti huyo mtu anapewa nafasi kidogo na wakati mwingine anakatishwa au ananyamazishwa asitoe nondo zake. Mfano ni leo asubuhi kijana wa chadema alitaka kuelezea political stability inavyoweza kuathiri uchumi yule kijana alinyamazishwa asiongee kuhusu hilo. Tutakuwa tunajidanganya kwamba uchumi unaweza kukua bila kuwa na uthabiti wa kisiasa.
Kwa hiyo Star TV najua mnaweza mkawa mnapata shinikizo ukizingatia Diallo ni CCM damu damu lkn kama mnaamua kujadili jambo waache watu waongee.
Nawakilisha wadau
wanamfurahisha mkulu
 
Nimekuwa nikiifuatilia star TV vipindi vya mijadala ya asubuhi, kwa ujumla mijadala wanayoweka ni mizuri lakini tatizo liko kwenye utoaji nafasi kwa wazungumzaji, akiwepo mzungumzaji ambaye mlengo wake ni kutetea serikali au ccm anapewa nafasi kubwa na wakati mwingine huyo mtu anaongea maneno ya jumla jumla tu anaenda porini wanamuacha. Akiwepo mpinzani au mwenye maoni tofauti huyo mtu anapewa nafasi kidogo na wakati mwingine anakatishwa au ananyamazishwa asitoe nondo zake. Mfano ni leo asubuhi kijana wa chadema alitaka kuelezea political stability inavyoweza kuathiri uchumi yule kijana alinyamazishwa asiongee kuhusu hilo. Tutakuwa tunajidanganya kwamba uchumi unaweza kukua bila kuwa na uthabiti wa kisiasa.
Kwa hiyo Star TV najua mnaweza mkawa mnapata shinikizo ukizingatia Diallo ni CCM damu damu lkn kama mnaamua kujadili jambo waache watu waongee.
Nawakilisha wadau
Tumekusikia ila endelea kuvumilia.
 
Nimekuwa nikiifuatilia star TV vipindi vya mijadala ya asubuhi, kwa ujumla mijadala wanayoweka ni mizuri lakini tatizo liko kwenye utoaji nafasi kwa wazungumzaji, akiwepo mzungumzaji ambaye mlengo wake ni kutetea serikali au ccm anapewa nafasi kubwa na wakati mwingine huyo mtu anaongea maneno ya jumla jumla tu anaenda porini wanamuacha.

Akiwepo mpinzani au mwenye maoni tofauti huyo mtu anapewa nafasi kidogo na wakati mwingine anakatishwa au ananyamazishwa asitoe nondo zake. Mfano ni leo asubuhi kijana wa chadema alitaka kuelezea political stability inavyoweza kuathiri uchumi yule kijana alinyamazishwa asiongee kuhusu hilo. Tutakuwa tunajidanganya kwamba uchumi unaweza kukua bila kuwa na uthabiti wa kisiasa.

Kwa hiyo Star TV najua mnaweza mkawa mnapata shinikizo ukizingatia Diallo ni CCM damu damu lkn kama mnaamua kujadili jambo waache watu waongee.

Nawakilisha wadau
Hiyo ni Tv ya chama, usishangae sana!
 
Umesahau Star TV ilikuwa inadaiwa na serikali mabilioni hadi ikafungiwa.
Lakini baada ya siku tatu ikafunguliwa,wala hatukujulishwa kama ililipa deni lote au ilisamehewa kwa masharti yapi.
Kama kipindi hicho kinakuboa,fungua TV yako tuone kama utachukua round kabla haijafungiwa.
Kumbuka hii ni biashara,kama ilivyo biashara nyingine.
 
Umesahau Star TV ilikuwa inadaiwa na serikali mabilioni hadi ikafungiwa.
Lakini baada ya siku tatu ikafunguliwa,wala hatukujulishwa kama ililipa deni lote au ilisamehewa kwa masharti yapi.
Kama kipindi hicho kinakuboa,fungua TV yako tuone kama utachukua round kabla haijafungiwa.
Kumbuka hii ni biashara,kama ilivyo biashara nyingine.
Kama ndo hivyo wasiweke mada za nguvu kama wanazoweka, wawe kama wenzao Clouds ambao wamejikita kuongea trivial issues!
 
Kama ndo hivyo wasiweke mada za nguvu kama wanazoweka, wawe kama wenzao Clouds ambao wamejikita kuongea trivial issues!
Wana uhuru wa kuamua ni lipi wafanye.
Wakikusikiliza wewe watafungiwa,nao si lengo lao kupoteza TV .
Mbona hujaandamana hadi huko uzitoni ukapiganie magezeti na majarida yaliotafautiana na mamlaka?
 
Back
Top Bottom