Mkihitimisha taarifa yenu ya habari mmetangaza kuhusu mtoto aliyetelekezwa uwanja wa ndege Mwanza.Ajabu mnatuambia anayemfahamu awasiliane na Edita wa Ilemela!Hamjatuonesha picha yake,wala hamjatuambia jina lake!Hamjataja haiba yake wala hata makadirio ya umri wake!kusema 'mtoto' tu haitoshi.Jisahihisheni na acheni usanii kama mliofanya
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums