Nanusa Cybercrime case!3.weka namba yako ya simu utatumiwa OTP(one time password) ili kuverify number yako
Tuma linck ya snartt skillsNicheck telegram nikupe imelipiwa kila kitu ni kuwatch tu na bando lako..
Au search kule telegram group la
Smatskills
Utaipata ipo mwanzoni..
Azam itakuwa safi sanaAzam max cracked nayo ntaitoa ila nyiny ndo mnambie nianze na dstv or azam
Unaangalia kwenye simu tu mkuu .Nahitaj angalau watu 50 wachague azam au dstv ndo ntaitoa ila now naona msukumo bado mdogo nami nahtaj hizi app ziwafikie watu weng na sio ishu za kuuziana
Umewaka wap mdau!KWA AMBAO NI MARA YA KWANZA KUTUMIA AZAM MAX FUATA MAELEKEZO HAYA
1.Download app link nishaituma humu
2.ukiifungua itahitaji uwe na account so sign up
3.weka namba yako ya simu utatumiwa OTP(one time password) ili kuverify number yako
4.Utaweka majina, password,email n.k
5.mwisho ikihitaji card weka skip ao later hapo utakuw tayar ushafanikiwa na utaweza kufungua channel yoyote
toa mkuudstv ningetoa email na password tena ina kifurushi cha compact plus tatizo ukiwapa watu nawao wanagawa mpaka wewe uliewapa access wanakutoa