waliwahi kusema eti ving'amuzi vya moro vinatumika moro na znz tu,binasfi nilishuhudia king'amuzi cha arusha kikishindwa kufanya kazi morogoro,hao ndio star times tuwe makini nao
waliwahi kusema eti ving'amuzi vya moro vinatumika moro na znz tu,binasfi nilishuhudia king'amuzi cha arusha kikishindwa kufanya kazi morogoro,hao ndio star times tuwe makini nao
waliwahi kusema eti ving'amuzi vya moro vinatumika moro na znz tu,binasfi nilishuhudia king'amuzi cha arusha kikishindwa kufanya kazi morogoro,hao ndio star times tuwe makini nao
King'amuzi cha startimes kinafanyakazi sehemu yeyote yenye signal yao. Unachotakiwa kufanya kila unapobadilisha mkoa inabidi u scan frequency upya. Sababu kila mkoa frequency band zinatofautiana kutokana na leseni waliyipewa na TCRA.
King'amuzi cha startimes kinafanyakazi sehemu yeyote yenye signal yao. Unachotakiwa kufanya kila unapobadilisha mkoa inabidi u scan frequency upya. Sababu kila mkoa frequency band zinatofautiana kutokana na leseni waliyipewa na TCRA.
mh labda,ngoja waje wengine ambao walijibiwa na startimes kuwa ili uone matangazo kwa morogoro wakati wanaanza ilikuwa lazima ununue king'amuzi moro au zanzibar