Stahiki zako baada ya ajira

Side buggati

JF-Expert Member
Feb 8, 2015
219
175
Wakurungwa naomben msaada kwahili limenistua kidogo najua humu kuna weng wanaojua sheria na wengine wanaexperiance na haya mambo.kuna ofisi moja nilikuwa nafanya Kaz sasa wamenipa termination letter kutokana na utovu wa nizamu lakin ninastahik zangu na kama rikizo nadai 8 na basic yng ya kunisitisha ajira lakin anayehusika na kutoa pesa ameniambia hizi pesa zako utopata zote utakatwa kodi na nssf watakukata swali la kwanza liko hapa ajira yangu imesitizwa sasa inakuaje wanikate nssf na michango yangu ndo ukomo wake
(2)swali la pili kivip wananiambia sitolipwa kiinua mgongo kisa nmefukuzwa kaz sijaacha mwenyewe naomben wataalimu mulichambue ili nipate haki zangu
 
Wakurungwa naomben msaada kwahili limenistua kidogo najua humu kuna weng wanaojua sheria na wengine wanaexperiance na haya mambo.kuna ofisi moja nilikuwa nafanya Kaz sasa wamenipa termination letter kutokana na utovu wa nizamu lakin ninastahik zangu na kama rikizo nadai 8 na basic yng ya kunisitisha ajira lakin anayehusika na kutoa pesa ameniambia hizi pesa zako utopata zote utakatwa kodi na nssf watakukata swali la kwanza liko hapa ajira yangu imesitizwa sasa inakuaje wanikate nssf na michango yangu ndo ukomo wake
(2)swali la pili kivip wananiambia sitolipwa kiinua mgongo kisa nmefukuzwa kaz sijaacha mwenyewe naomben wataalimu mulichambue ili nipate haki zangu
Ngoja wajuvi waje..
 
1.. kiutaratibu na kisheria nilazima mshahara wako ukatwe kodi na nssf hata kama ni after termination
2... hilo swala la ulipaji wa holiday leave it depends na kazi uliachishwa kipindi (mwezi)gani na leave ofisini uliwahi omba mara ngapi. Sababu leave jumla kwa mwaka 28. Utatoa holiday zote pasaka,iddi,nyerere day etc pamoja na siku ambazo haukuriport ofisini zinaweza baki 0 vile vile usipokee hata shilingi 100.
 
1.. kiutaratibu na kisheria nilazima mshahara wako ukatwe kodi na nssf hata kama ni after termination
2... hilo swala la ulipaji wa holiday leave it depends na kazi uliachishwa kipindi (mwezi)gani na leave ofisini uliwahi omba mara ngapi. Sababu leave jumla kwa mwaka 28. Utatoa holiday zote pasaka,iddi,nyerere day etc pamoja na siku ambazo haukuriport ofisini zinaweza baki 0 vile vile usipokee hata shilingi 100.
We bado sio mtaalam na haya mambo ngoja waje wataalam
 
1.. kiutaratibu na kisheria nilazima mshahara wako ukatwe kodi na nssf hata kama ni after termination
2... hilo swala la ulipaji wa holiday leave it depends na kazi uliachishwa kipindi (mwezi)gani na leave ofisini uliwahi omba mara ngapi. Sababu leave jumla kwa mwaka 28. Utatoa holiday zote pasaka,iddi,nyerere day etc pamoja na siku ambazo haukuriport ofisini zinaweza baki 0 vile vile usipokee hata shilingi 100.
Alafu soma vizur hapo sio mshahara baada ya termination haisuani ni stahiki zangu za mkono wa kwaheri na malimbikizo ya rikizo nilizokuwa nazo
 
Wakurungwa naomben msaada kwahili limenistua kidogo najua humu kuna weng wanaojua sheria na wengine wanaexperiance na haya mambo.kuna ofisi moja nilikuwa nafanya Kaz sasa wamenipa termination letter kutokana na utovu wa nizamu lakin ninastahik zangu na kama rikizo nadai 8 na basic yng ya kunisitisha ajira lakin anayehusika na kutoa pesa ameniambia hizi pesa zako utopata zote utakatwa kodi na nssf watakukata swali la kwanza liko hapa ajira yangu imesitizwa sasa inakuaje wanikate nssf na michango yangu ndo ukomo wake
(2)swali la pili kivip wananiambia sitolipwa kiinua mgongo kisa nmefukuzwa kaz sijaacha mwenyewe naomben wataalimu mulichambue ili nipate haki zangu
Malipo yako yote unayodai kama likizo na basic salary after termination yako subjected to makato ya kodi na NSSF kama kawaida.

Malipo yasiyo na makato ni nauli kama unatakiwa kulipwa.

Na ndio maana hata baada ya termination, ukienda NSSF kufungua Withdrawal claims watakwambia usuburie mwezi mmoja.

Huo mwezi mmoja, maana yake kuna pesa zako nyingine kutoka kwenye hayo makato ya mwisho zitatakiwa kupelekwa.

Soma sheria ya Ajira na mahusiano kazini, mtu pekee anayepewa kiinua mgongo ni yule aliyestaafu au amefikia mwisho wa mkataba. Ukifukuzwa kazi kwa utovu wa nidhamu hakuna kiinua mgongo utapata
 
Wakurungwa naomben msaada kwahili limenistua kidogo najua humu kuna weng wanaojua sheria na wengine wanaexperiance na haya mambo.kuna ofisi moja nilikuwa nafanya Kaz sasa wamenipa termination letter kutokana na utovu wa nizamu lakin ninastahik zangu na kama rikizo nadai 8 na basic yng ya kunisitisha ajira lakin anayehusika na kutoa pesa ameniambia hizi pesa zako utopata zote utakatwa kodi na nssf watakukata swali la kwanza liko hapa ajira yangu imesitizwa sasa inakuaje wanikate nssf na michango yangu ndo ukomo wake
(2)swali la pili kivip wananiambia sitolipwa kiinua mgongo kisa nmefukuzwa kaz sijaacha mwenyewe naomben wataalimu mulichambue ili nipate haki zangu
Kama umeachishwa kwa kosa la kinidhamu kuna stahiki unazikosa.Halafu,kodi iko pale pale kwenye mapato yoyote unayopata. hiyo ya nssf ni nzuri umekatwa maana muajiri atakuongezea tena 10%. Ndiyo maana Ayubu alimua kuacha mwenyewe ili ionekane amestaafu kwa hiayari.ili aemdelee kupata baadhi ya vipension vya speaker mstaafu.angepigwa chini na wabunge kuna vitu angevikosa
 
Side ni kama bado akili yako haijasettle mbona kama umepanik sana pole kwa unayoyapitia mkubwa
 
Kama umeachishwa kwa kosa la kinidhamu kuna stahiki unazikosa.Halafu,kodi iko pale pale kwenye mapato yoyote unayopata. hiyo ya nssf ni nzuri umekatwa maana muajiri atakuongezea tena 10%. Ndiyo maana Ayubu alimua kuacha mwenyewe ili ionekane amestaafu kwa hiayari.ili aemdelee kupata baadhi ya vipension vya speaker mstaafu.angepigwa chini na wabunge kuna vitu angevikosa
Ok saw tatizo ukiacha mwenyewe nssf upati mpk utimize miaka 55
 
Malipo yako yote unayodai kama likizo na basic salary after termination yako subjected to makato ya kodi na NSSF kama kawaida.

Malipo yasiyo na makato ni nauli kama unatakiwa kulipwa.

Na ndio maana hata baada ya termination, ukienda NSSF kufungua Withdrawal claims watakwambia usuburie mwezi mmoja.

Huo mwezi mmoja, maana yake kuna pesa zako nyingine kutoka kwenye hayo makato ya mwisho zitatakiwa kupelekwa.

Soma sheria ya Ajira na mahusiano kazini, mtu pekee anayepewa kiinua mgongo ni yule aliyestaafu au amefikia mwisho wa mkataba. Ukifukuzwa kazi kwa utovu wa nidhamu hakuna kiinua mgongo utapata
Nmekuelewa vizur ahsnte kaka
 
Back
Top Bottom