Hakuna usumbufu kinachotakiwa ni ada yako kwa wale wenzangu na mimi first year NON PRIOLITY COURSE ufike na 733,000/= tofauti na hapo NO registration.Usumbufu hakuna kwa leo mimi nimetumia 30 minutes tu.
Hakuna usumbufu kinachotakiwa ni ada yako kwa wale wenzangu na mimi first year NON PRIOLITY COURSE ufike na 733,000/= tofauti na hapo NO registration.Usumbufu hakuna kwa leo mimi nimetumia 30 minutes tu.
Original certificates na slip za benk basi hawana uhusiano na bodi ya mikopo kama umeaply laon kama mimi na mpaka sasa hawajatoa allocation bodi ya mikopo hautapokelewa.CASH FIRST
cash 733,000 siyo issue pale ,wewe umekuwa na bahati, watu wamekaa siku tatu kwa issue ya spelling kwenye jina lake,wanasema sio wewe tutadhibitashaje wakati namba yake ya mtihani ni hiyo ambayo wanayo wao.hacha kaka we jipange tu
cash 733,000 siyo issue pale ,wewe umekuwa na bahati, watu wamekaa siku tatu kwa issue ya spelling kwenye jina lake,wanasema sio wewe tutadhibitashaje wakati namba yake ya mtihani ni hiyo ambayo wanayo wao.hacha kaka we jipange tu