Mkuu umeongea point. Nilikuwa miongoni mwaoSt. Joseph University
Ina colleges nyingi,dar zipo college za Engineering na Education zipo Kibamba,na kuna college mpya ya medicine Boko.
Kwa habari ya ufundishaji,wapo vzuri Lecturers wanafundisha vzuri tu tho sio wote wapo "competent" ila wanafundisha sanaaaaaaaaaa
Attendance ni mhimu sanaaaaaa
Na kuwahi lecture ni mhimu mnoooo
TATIZO
Chuo kina ada kubwa na mkopo mnaopewa hautoshi kulipia gharama za ada etc,Chuo hakina hostel so mnapanga kitaa na kodi ni kubwa sana kama unategemea boom utaish Kwa shida sana
Cha AJABU
Chuon apo unakuwa "Detained" (Kusimamishwa masomo Kwa mwaka) Kwa kukosa ada hata kama umefaulu. Nimeshuhudia wadogo zetu wakipitia hayo mateso,watoto wa masikini ikaniuma sana,
Nilikutana na baadhi ya hao vjana,wakike na kiume wanalia,wanasema serikali iliahid 100% mkopo Kwa masomo ya sayansi na education ila hyo ahad hatujaiona ila cha ajabu,TCU ndo ilitupangia vyuo,walituleta hapa(St. Joseph) wakijua kuna ada kubwa ila hawakutuhakkshia mkopo
Niliumia sana.
Wanafunzi wanaosoma uhandisi kuachishwa masomo kisa ada na Kwa taifa kama letu tunalohitaj wahandisi wengi ni TATIZO
OMBI
Kwa walio na moyo wa kufinance vjana hawa Wa kitanzania anakaribishwa ntamkutanisha na hao wahitaji.
Naamini umepata overview walau Kwa ufupi.
Kama una Ada na una ufadhili mzuri nenda usome . By Jcoder.
St. Joseph University
Ina colleges nyingi,dar zipo college za Engineering na Education zipo Kibamba,na kuna college mpya ya medicine Boko.
Kwa habari ya ufundishaji,wapo vzuri Lecturers wanafundisha vzuri tu tho sio wote wapo "competent" ila wanafundisha sanaaaaaaaaaa
Attendance ni mhimu sanaaaaaa
Na kuwahi lecture ni mhimu mnoooo
TATIZO
Chuo kina ada kubwa na mkopo mnaopewa hautoshi kulipia gharama za ada etc,Chuo hakina hostel so mnapanga kitaa na kodi ni kubwa sana kama unategemea boom utaish Kwa shida sana
Cha AJABU
Chuon apo unakuwa "Detained" (Kusimamishwa masomo Kwa mwaka) Kwa kukosa ada hata kama umefaulu. Nimeshuhudia wadogo zetu wakipitia hayo mateso,watoto wa masikini ikaniuma sana,
Nilikutana na baadhi ya hao vjana,wakike na kiume wanalia,wanasema serikali iliahid 100% mkopo Kwa masomo ya sayansi na education ila hyo ahad hatujaiona ila cha ajabu,TCU ndo ilitupangia vyuo,walituleta hapa(St. Joseph) wakijua kuna ada kubwa ila hawakutuhakkshia mkopo
Niliumia sana.
Wanafunzi wanaosoma uhandisi kuachishwa masomo kisa ada na Kwa taifa kama letu tunalohitaj wahandisi wengi ni TATIZO
OMBI
Kwa walio na moyo wa kufinance vjana hawa Wa kitanzania anakaribishwa ntamkutanisha na hao wahitaji.
Naamini umepata overview walau Kwa ufupi.
Kama una Ada na una ufadhili mzuri nenda usome . By Jcoder.
St. Joseph University
Ina colleges nyingi,dar zipo college za Engineering na Education zipo Kibamba,na kuna college mpya ya medicine Boko.
Kwa habari ya ufundishaji,wapo vzuri Lecturers wanafundisha vzuri tu tho sio wote wapo "competent" ila wanafundisha sanaaaaaaaaaa
Attendance ni mhimu sanaaaaaa
Na kuwahi lecture ni mhimu mnoooo
TATIZO
Chuo kina ada kubwa na mkopo mnaopewa hautoshi kulipia gharama za ada etc,Chuo hakina hostel so mnapanga kitaa na kodi ni kubwa sana kama unategemea boom utaish Kwa shida sana
Cha AJABU
Chuon apo unakuwa "Detained" (Kusimamishwa masomo Kwa mwaka) Kwa kukosa ada hata kama umefaulu. Nimeshuhudia wadogo zetu wakipitia hayo mateso,watoto wa masikini ikaniuma sana,
Nilikutana na baadhi ya hao vjana,wakike na kiume wanalia,wanasema serikali iliahid 100% mkopo Kwa masomo ya sayansi na education ila hyo ahad hatujaiona ila cha ajabu,TCU ndo ilitupangia vyuo,walituleta hapa(St. Joseph) wakijua kuna ada kubwa ila hawakutuhakkshia mkopo
Niliumia sana.
Wanafunzi wanaosoma uhandisi kuachishwa masomo kisa ada na Kwa taifa kama letu tunalohitaj wahandisi wengi ni TATIZO
OMBI
Kwa walio na moyo wa kufinance vjana hawa Wa kitanzania anakaribishwa ntamkutanisha na hao wahitaji.
Naamini umepata overview walau Kwa ufupi.
Kama una Ada na una ufadhili mzuri nenda usome . By Jcoder.