vyuo vingi vikubwa na vidogo vishatoa selection zao lakini chuo hiki ambacho ni kichanga sana bado hakijatoa! What's wrong with this university? Mwenye info zozote hatufahamishe.
Hahaha ni kweli metal ila unajua inachosha ndg yang ck ya nne sasa twasubil wkt machaguo yte yameisha . Da! Kama kuna place inachanganya ni hapa. Af wengne wameshakonda ck tano hawajala