Dah inasikitisha mnooo kuona swali hili kwa mtu Anaenda chuo
Taarifa aliyotumiwa kijana mmoja ni October 18, 2016. Sidhani kama taarifa hii iko kwenye site yao.Wa jf naomba kujua, lini masomo yanaanza kwa mwaka wa kwanza 2016/17 chuo cha SAUT?
Daah.... kaka mimi nina uhakika nina akili kuliko wewe. joining instr iko silent, inataja trh 3 na 11 ambazo sio kweli kutokana na TCU second and third rounds selections. Hivyo calenda za vyuo zimevurugika. nikiwapigia cm hazipokelewi. kwa majibu yako haya you must be stupid kind of jf member. If you do not have the answer better remain mumKizazi gani hiki ambacho km kimewezs kuingia jf nakuulizia kinashindwa nn kuangalia joining instruction kutoks kwenye website ya chuo huska?
Sio kweli kila information ipo kwenye website wewe fungua utaonaSaut hawaweki information zozot kwny website yao ata joining instruction ya 2016_2017 haipo msimalaumu kijana wa watu saut wako incompetent
Chuo kilifunguliwa since tareh 11 so kama wewe umechaguliwa saut nenda chuo ndugu coz selection zimechelewa kutoka na pia zipo kwa awamu tofauti tofauti nakushauri nenda chuo sasa wenzio wameshaanza kusomaDaah.... kaka mimi nina uhakika nina akili kuliko wewe. joining instr iko silent, inataja trh 3 na 11 ambazo sio kweli kutokana na TCU second and third rounds selections. Hivyo calenda za vyuo zimevurugika. nikiwapigia cm hazipokelewi. kwa majibu yako haya you must be stupid kind of jf member. If you do not have the answer better remain mum