GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,647
- 109,037
Najua huwa Unanisoma sana GENTAMYCINE hapa JamiiForums kama ambavyo hata Bi. Mkubwa nae huwa ananisoma vile vile hapa.
Nijibu haraka Mheshimiwa Spika na mwana Simba SC lia lia Mwenzangu Dk. Tulia Ackson ili nimsanue / nimtaje kwani hata Mimi GENTAMYCINE sikuwahi Kumkubali tokea mwaka 2005 japokuwa miaka kadhaa alienda kupunguza Kontena zake 700 za Dhambi huko Mecca Saudi Arabia na Mkewe Kisauti Kisauti.
Mheshimiwa Spika Mdau wako GENTAMYCINE nipo njiani sasa natokea Kuhiji Morogoro narejea Dar es Salaam kwa sasa ila nitapitia hii njia ya Msoga Chalinze kisha Msata halafu niitafute Kawe na nikifika Kawe nitaenda kutuliza Akili jirani na huyo Kigogo Mstaafu wako ANAYEKUCHUKIA mno huku nikichagua pia Samaki wazuri wa Kawe Beach ambao hata Yeye huyo Kigogo Mstaafu wako ANAYEKUCHUKIA kila baada ya Siku Mbili huenda Kununua hapo Samaki wa Shilingi Elfu Themanini (Tsh 80,000/=) akale na Familia yake huku wakiwa Wanaifurahia HARUFU KALI ya Mtaro na Bomba linalopita nje tu ya Ukuta wake mweupe ambao sasa unaanza kutengeneza Nyufa.
Nijibu haraka Mheshimiwa Spika na mwana Simba SC lia lia Mwenzangu Dk. Tulia Ackson ili nimsanue / nimtaje kwani hata Mimi GENTAMYCINE sikuwahi Kumkubali tokea mwaka 2005 japokuwa miaka kadhaa alienda kupunguza Kontena zake 700 za Dhambi huko Mecca Saudi Arabia na Mkewe Kisauti Kisauti.
Mheshimiwa Spika Mdau wako GENTAMYCINE nipo njiani sasa natokea Kuhiji Morogoro narejea Dar es Salaam kwa sasa ila nitapitia hii njia ya Msoga Chalinze kisha Msata halafu niitafute Kawe na nikifika Kawe nitaenda kutuliza Akili jirani na huyo Kigogo Mstaafu wako ANAYEKUCHUKIA mno huku nikichagua pia Samaki wazuri wa Kawe Beach ambao hata Yeye huyo Kigogo Mstaafu wako ANAYEKUCHUKIA kila baada ya Siku Mbili huenda Kununua hapo Samaki wa Shilingi Elfu Themanini (Tsh 80,000/=) akale na Familia yake huku wakiwa Wanaifurahia HARUFU KALI ya Mtaro na Bomba linalopita nje tu ya Ukuta wake mweupe ambao sasa unaanza kutengeneza Nyufa.