Mimi binafsi tangu kilipotokea kisingizio ni zamu ya supika mwanamke,niliona janga tulilolitafuta,mambo yote ya manufaa kwa taifa yalizorota na kuzoroteshwa.Na vituo vilivyofuata ni milima na mabonde hadi kupatikama mtwawala na hadi kung'ooka kwa Nzee ya Galilaya na kupekea kukwea kwa mrithi wake ambaye leo anatamani kuwa mtwawala kama aliyemng'oa Nzee ya Galilaya.