Muda wa kwenda kusoma Albadir ndo unasogea hivyo!Kisa.......kaambiwa hajafikia hata 10% ya utendaji wa Mama Makinda?
Sent from my Compaq desktop-1997 Using Jamiiforums desktop app
Hehehe sijawahi kuamini hii kitu ngoja tuone safari hii.Muda wa kwenda kusoma Albadir ndo unasogea hivyo!
Hehehe lile dongo lilikuwa limetuliabonge la dongo lile.lazima limuume
Ndugai kupiga kampeini ya uspika?Mm,haya maneno ni ya kibabe mno.Yananikumbusha lile tukio lililomhusisha Ndugai kwenye campaign.Ni kama tambo za mitaani hivi.Sijapenda.
Campaign za ubunge,alifanya vituko sana jimboni kwake.Anyway tuyaache ni Historia.Ndugai kupiga kampeini ya uspika?
Anafaa na anatosha kabisa kwenye nafasi hiyo, mnachotakiwa na kumheshimu tu.Huyo "Bulai" simshangai, alimpiga mgombea mwenzake wa kiti cha ubunge, Dr Chilogani mpaka akazirai na kulazwwa hospitali ya Kongwa kwa siku kadhaa akiwa hajitambui!
Nawaahangaa wabunge was COM (ambao ndiyo wengi bungeni) kwa kutoliona hilo na kumpa Uspika wa Bunge!
Campaign za ubunge,alifanya vituko sana jimboni kwake.Anyway tuyaache ni Historia.
Ukomo wa kuzuia unaishia Bungeni akumbuke huku kuna Mabunge ya FB, Twitter, JF etc!
Zile fimbo zilizotembea mpaka watu wengine wakazimia unazikumbuka?Acha uongo wako, alifanya kampeni kwa mujibu wa taratibu zote za Tume ya uchaguzi.
watu walizowea kuwachezea maspika waliopita, lakini mh. Ndugai anafuata sheria na kanuni za Bunge, hivyo ni lazima wabunge watii sheria na kanuni za Bunge bila shuruti.