Spika Ndugai anatibiwa India

Spika Ndugai anatibiwa India

Yaani hilo ndo swali langu siku zote; tatizo ni kwamba madactari wetu hawana viwango au ni tatizo la vifaatiba. Mi natumaini kuwa itafika siku katika hii awamu ya tano, hawa miungu watu wataacha kwenda kutibiwa nje kwa gharama kubwa ya walipa kodi. Hebu Mungu amjaze raisi wetu hekima na utashi; mawaziri wajawe na hofu ya Mungu wafanye kazi kwa weledi na kuweka mipango endelevu ya kuondoa kabisa huu utegemezi. Tumechoka!!

hivi vongozi wa india nao wakiugua wanafanyiwa uchunguzi wap?
 
Kwanza afe tu

Duu nlishafanya kosa kama hili Nape alipopata ajali ila baada ya kutumia ubongo kufikiri badala ya kuendeshwa na feelings nikagundua nimefanya kosa kubwa sana ,kumtakia mwenzanko kifo ni jambo hatari sana ,Nisamehewe bure na Mungu na wanadamu
 
Kwani tanzania hakuna madaktari na hospitali hadi aende kutibiwa india. Hii inaleta picha gani kwa wananchi wa kawaida

mkuu we na pesa yako tu,yanini utibiwe hapa na unapesa zako? hata wewe ukiwa na pesa zako hakuna sababu yakutibiwa hapa nchini......madaktari nikweli tunao wazuri tu except we don't have material
 
Mbona Muhimbili tunayo na kuna madaktari bingwa, vitanda tumepeleka, mashine za vipimo tumetengeneza!!!

Iweje aende kutibiwa INDIA na ikiwa tuliambiwa kuwa MARUFUKU WATUMISHI WA SERIKALI KWENDA NJE!!!

Au ile marufuku inahusu baadhi ya watu na wengine RUKSAAAAAAAA
 
Ila huyu "supika" huwa simuelewagi kabisa,ina maana anampima prezd atamfanya nini ??????
 
I hope akirudi atarusha picha nyingine akiwa angani sijui Ni air India,au emirates au air tanzania
 
Nanukuu "upinzani ukitaka niwe mstaarabu nitakuwa mstaarabu wakitaka niwe mbabe nitakuwa mbabe
 
Back
Top Bottom